Hamas wametoa video ya wanajeshi wa kike wa Israel waliokamatwa kwenye vita Gaza

Hapana wako sahihi. Kumbuka anacho fanya Hamas ni kuifikishia Dunia ujumbe kua. Sisi tunawahudumia mateka wa vita hivi Kwa kufata Sheria zote za umoja wa mataifa, ila cousin wa uncle Tom yeye ni mkatili. Aliikamata HQ ya Hamas Haifa hospital. Na majenerali wakike na watoto na wazee wasio jiweza. Akavimba sana kunionyesha Dunia. Kumbe puungu tu.

Pia uislamu umekataza kuua wazee wasio jiweza, wanawake, watoto, wagonjwa pamoja na mateka/mtu Alie jisalimisha "Alie nyoosha mikono juu"
 
Hapo kwenye uislamu ndio umeniziba mdomo sina lakuongeza
Ila ingekua sheria tu hizi ziitwazo zakimataifa ingekua ujinga sana kuzifuata
Sheria niziheshimu mie wao wazidharau wkaati zaniumiza hii hapana kwakweli
Ila kama uislam umeemarisha basi sina msemo hamas wako sahihi kabisa
 
Naam
 
Mimi niliyeko huku tukuyu ndani ndani ntaamini vipi kama hao wadada ni wanajeshi wa IDF?
 
Utangazaji wa vyombo vya habari | Mwimbaji wa Israel Idan Amedi, anayejulikana kwa jukumu lake katika kipindi cha Netflix "Fauda," ameripotiwa kujeruhiwa vibaya alipokuwa askari wa akiba katika jeshi la Israeli huko Gaza. Amedi anadaiwa kushiriki video kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii akishiriki katika ulipuaji wa jengo huko Gaza kama kitendo cha kulipiza kisasi.
 
Sema nini wakulaumiwa PUTIN, kawaonyesha hawa vijana njia ya kujitetea. Wanajiamini sana ona wanavyo tuaibisha. Hapo Bado Ramaphosa ana tuchanganya tena.

Vijana Wana mbirigua nyetanyahu mbaya mbovu.
 
Video zao wakiwa na kombati ujaziona ..
 
Surah Al Masad...ilizungumzia namna Abu Lahab atakavyoangamia....na ilishuka miaka tisa kabla ya kuangamia kwa Abu Lahab...ilishatabiri...na siku zte Quran haisemi uongo....kama Abu Lahab angerudi katika njia iliyo ya haki maana yke kwa ile sura tu Quran ingekuwa imeshaonekana ni uongo...lakini hakurudi kwny njia ya haki na akaangamia kwli....Sasa basi kwa mfano huo...pia kwny Quran tunaambiwa vita kati ya Mayahudi na Waislamu itaendelea mpk Waislamu watashinda...zitafika zama ambazo Mayahudi watakuwa wanajificha mpk nyuma ya mawe lakini mawe yatakuwa yanawaambia Waislamu njooni muwaue wapo wamejificha nyuma yetu....kwhyo haya yanayotokea ni katika kukamilisha tu maandiko yaliyokuwa yameshasemwa tyri.... Mwenyezimungu ni mjuzi na m Bora katika kupanga mambo na yakawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…