Hamas wametoa video ya wanajeshi wa kike wa Israel waliokamatwa kwenye vita Gaza

Hamas wametoa video ya wanajeshi wa kike wa Israel waliokamatwa kwenye vita Gaza

Surah Al Masad...ilizungumzia namna Abu Lahab atakavyoangamia....na ilishuka miaka tisa kabla ya kuangamia kwa Abu Lahab...ilishatabiri...na siku zte Quran haisemi uongo....kama Abu Lahab angerudi katika njia iliyo ya haki maana yke kwa ile sura tu Quran ingekuwa imeshaonekana ni uongo...lakini hakurudi kwny njia ya haki na akaangamia kwli....Sasa basi kwa mfano huo...pia kwny Quran tunaambiwa vita kati ya Mayahudi na Waislamu itaendelea mpk Waislamu watashinda...zitafika zama ambazo Mayahudi watakuwa wanajificha mpk nyuma ya mawe lakini mawe yatakuwa yanawaambia Waislamu njooni muwaue wapo wamejificha nyuma yetu....kwhyo haya yanayotokea ni katika kukamilisha tu maandiko yaliyokuwa yameshasemwa tyri.... Mwenyezimungu ni mjuzi na m Bora katika kupanga mambo na yakawa
Mwenyezi Mungu ni mbora katika kupanga mambo na yakawa

Naunga mkono hoja na upo sahihi qur an haijawahi nahaitawahi kusema uongo

Maana nikitabu kisicho nashaka ndanimwe
 
Utangazaji wa vyombo vya habari | Mwimbaji wa Israel Idan Amedi, anayejulikana kwa jukumu lake katika kipindi cha Netflix "Fauda," ameripotiwa kujeruhiwa vibaya alipokuwa askari wa akiba katika jeshi la Israeli huko Gaza. Amedi anadaiwa kushiriki video kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii akishiriki katika ulipuaji wa jengo huko Gaza kama kitendo cha kulipiza kisasi.
Mungu ampende zaidi
 
Sema nini wakulaumiwa PUTIN, kawaonyesha hawa vijana njia ya kujitetea. Wanajiamini sana ona wanavyo tuaibisha. Hapo Bado Ramaphosa ana tuchanganya tena.

Vijana Wana mbirigua nyetanyahu mbaya mbovu.
PUT IN alikua anawaambia kama baada ya SMO dunia haitakua kama ilivyokua awali
Ghafla hamas nawao wameanzisha SMO yao wanakiwasha
 
Unacheza na Hamas IDF walijifanya kuingia kwenye beto mamee waliokimbia waliita chopa kila mmoja afe kivyake wameshindwa kuwasaidia hawa wanawake Hamas walivyoona wamebaki wanawake peke yao wanalia wakambia tulieni kuweni na amani.
Hamasi wana roho nzuri sana....hata tarehe 7/10...wanazushiwa tu kubaka na kuchija watoto....hata Joshua waliomuuwa ni Waisrael
 
Hamasi wana roho nzuri sana....hata tarehe 7/10...wanazushiwa tu kubaka na kuchija watoto....hata Joshua waliomuuwa ni Waisrael
Baba Joshua kahojiwa TBC alikuwa anaenda Israel kujua mtoto wake alipo ile clip yule siyo Joshua. Hizo za kujicha watoto ni propaganda zimeishapitwa waandishi wa habari walihoji hao watoto waliochinjwa wa nani tunaomba tungee na wazazi wao Israel kimya mpaka leo.
 
Baba Joshua kahojiwa TBC alikuwa anaenda Israel kujua mtoto wake alipo ile clip yule siyo Joshua. Hizo za kujicha watoto ni propaganda zimeishapitwa waandishi wa habari walihoji hao watoto waliochinjwa wa nani tunaomba tungee na wazazi wao Israel kimya mpaka leo.
Sahihi kabsa! Yaani alshabab, alqaida,boko haram, Isis na Hezbollah yote haya sio makundi ya kigaidi ni propaganda za magharibi tu
 
Sahihi kabsa! Yaani alshabab, alqaida,boko haram, Isis na Hezbollah yote haya sio makundi ya kigaidi ni propaganda za magharibi tu
US government considered Nelson Mandela a terrorist.

Hamas ni freedom fighters siyo magaidi.
 
Hao mabinti sio wanajeshi ni mateka waliochukuliwa 7/10 tatizo lenu waislam mnapenda misifa na nguvu hamnazo, propaganda za kipumbavu sana, unachukua picha kwenye X kwenye account za washiia wenzako then unatuletea ujinga wako humu kwa ma-great thinkers🤣🤣🤣🤣🤣
https://jamii.app/JFUserGuide off
 
Wanaukumbi.

Hamas ilitoa video ya wanajeshi wa kike wa Israel waliokamatwa kwenye uwanja wa mapambano Gaza.

Walisimamia machapisho ya uchunguzi ambapo waliendesha bunduki za mashine zinazodhibitiwa kwa mbali.

Walikamatwa baada ya kambi yao ya kijeshi kuzidiwa na wapiganaji wa Hamas, na wengine kuuliwa, kama kawaida ya Israel wameficha hii habari kuitangaza wao wanapambana kuuwa watoto wagonjwa na raia wasiokuwa na hatia wanaharibu majengo

Hamas walikuwa wanaweza kuwauwa wote lakini wamewambia mtarudi kwenu sisi siyo kama jeshi lenu linauwa hovyo raia wasiokuwa na hatia.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1744387191273382397?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Nyuso hizo nzuri zinaua watoto!! wanafanyia kazi jeshi lile lile linalowadhalilisha na kuwaua Wapalestina.

View: https://x.com/angeloinchina/status/1744391058669379598?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Kumbe shetani akizeeka anageuka malaika?
 
Back
Top Bottom