Hamas wametoa video ya wanajeshi wa kike wa Israel waliokamatwa kwenye vita Gaza

Mwenyezi Mungu ni mbora katika kupanga mambo na yakawa

Naunga mkono hoja na upo sahihi qur an haijawahi nahaitawahi kusema uongo

Maana nikitabu kisicho nashaka ndanimwe
 
Mungu ampende zaidi
 
Sema nini wakulaumiwa PUTIN, kawaonyesha hawa vijana njia ya kujitetea. Wanajiamini sana ona wanavyo tuaibisha. Hapo Bado Ramaphosa ana tuchanganya tena.

Vijana Wana mbirigua nyetanyahu mbaya mbovu.
PUT IN alikua anawaambia kama baada ya SMO dunia haitakua kama ilivyokua awali
Ghafla hamas nawao wameanzisha SMO yao wanakiwasha
 
Unacheza na Hamas IDF walijifanya kuingia kwenye beto mamee waliokimbia waliita chopa kila mmoja afe kivyake wameshindwa kuwasaidia hawa wanawake Hamas walivyoona wamebaki wanawake peke yao wanalia wakambia tulieni kuweni na amani.
Hamasi wana roho nzuri sana....hata tarehe 7/10...wanazushiwa tu kubaka na kuchija watoto....hata Joshua waliomuuwa ni Waisrael
 
Hamasi wana roho nzuri sana....hata tarehe 7/10...wanazushiwa tu kubaka na kuchija watoto....hata Joshua waliomuuwa ni Waisrael
Baba Joshua kahojiwa TBC alikuwa anaenda Israel kujua mtoto wake alipo ile clip yule siyo Joshua. Hizo za kujicha watoto ni propaganda zimeishapitwa waandishi wa habari walihoji hao watoto waliochinjwa wa nani tunaomba tungee na wazazi wao Israel kimya mpaka leo.
 
Sahihi kabsa! Yaani alshabab, alqaida,boko haram, Isis na Hezbollah yote haya sio makundi ya kigaidi ni propaganda za magharibi tu
 
Sahihi kabsa! Yaani alshabab, alqaida,boko haram, Isis na Hezbollah yote haya sio makundi ya kigaidi ni propaganda za magharibi tu
US government considered Nelson Mandela a terrorist.

Hamas ni freedom fighters siyo magaidi.
 
https://jamii.app/JFUserGuide off
 
Kumbe shetani akizeeka anageuka malaika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…