Hamas warudisha nyuma jaribio la mwanzo la jeshi la Israel kuingia Gaza kwa miguu

Hamas warudisha nyuma jaribio la mwanzo la jeshi la Israel kuingia Gaza kwa miguu

ni kweli, ilikuwa leo jumapili, na askari mmoja wa israel amekufa. nadhani walikuwa wanafanay majaribio waone wanaingiaje na hamas wamekaa mlangoni mwa mahandaki wanawasubiri. israel wenyewe wamekiri hilo na hamas wamesema hivyo, naangalia hapa al jazeera. kuwafuata hamas kule ni nguvu na watakufa wengi sana, ila cha muhimu ni kwamba hata kama mwaka utaisha, wataingia tu. silaha ya kwanza wamewanyima msosi, maji na umeme, tuone kama wataishi hivyo miaka yote kwenye mashimo. sema magaidi hawanaga dogo, si ukute wameanza kuwalala wanawake wa kiisrael mateka, unakumbuka boko haram walizalisha vitoto kibao kwa mateka na wanawake wakawa wanapenda warudi kulekule wakawe boko haram milele.
wajenga uzio na wavamiz wa gaza mbona taarifa inajieleza ila hamas wametia chumv na wamesahau kufuta hiyo kauli wakiwa wanajenga uzio ,yaan wajiandae kwa ground halaf wapitie hako kasemu kamoja kalipovunjwa uzio ? akili zenu zinafanya kaz ? wkt Israel wameizunguka gaza ktk sehem 4
 

Israeli soldier killed during ground raid in Gaza, Israel’s army says.​

Hivi Isreal na marekani watajuta kuvianzisha.. maana waislam pale ni wachache kuna jeshi jengine ambalo mayahudi halioni wanapamba nalo
 
wajenga uzio na wavamiz wa gaza mbona taarifa inajieleza ila hamas wametia chumv na wamesahau kufuta hiyo kauli wakiwa wanajenga uzio ,yaan wajiandae kwa ground halaf wapitie hako kasemu kamoja kalipovunjwa uzio ? akili zenu zinafanya kaz ? wkt Israel wameizunguka gaza ktk sehem 4
Hivi mashambulizi yote hayo ya wiki 2 kwa kusaidia na majeshi yote ya NATO bado wanashindwa kungia Gaza. Wanashindwa kujua kwamba wanapigana na jeshi jengine lipo nyuma
 
Wavaa nepi hawawezi vita nchi yao haiwezi vita zaidi.

Uchumi wao umeanguka vibaya sana hata America apeleke mabillion hawawezi kurudisha hasara walio pata na wakiendelea week mbili na hi vita, wengine tutawafanyisha makazi kwenye mashamba hapo kigamboni 😂
Unatia huruma sana..............kutoka kwenye inchi isiyoweza kumuua hata mende............mpaka utumie nguvu kwa mende tu ........utasikia mpige na fagio .........mkanyage huyo mpaka afe...........sababu sumu zinatoka china........... ndio utaweza kuwalimisha Jews??
 
ni kweli, ilikuwa leo jumapili, na askari mmoja wa israel amekufa. nadhani walikuwa wanafanay majaribio waone wanaingiaje na hamas wamekaa mlangoni mwa mahandaki wanawasubiri. israel wenyewe wamekiri hilo na hamas wamesema hivyo, naangalia hapa al jazeera. kuwafuata hamas kule ni nguvu na watakufa wengi sana, ila cha muhimu ni kwamba hata kama mwaka utaisha, wataingia tu. silaha ya kwanza wamewanyima msosi, maji na umeme, tuone kama wataishi hivyo miaka yote kwenye mashimo. sema magaidi hawanaga dogo, si ukute wameanza kuwalala wanawake wa kiisrael mateka, unakumbuka boko haram walizalisha vitoto kibao kwa mateka na wanawake wakawa wanapenda warudi kulekule wakawe boko haram milele.
Hamas ni waislamu sidhani kama watafanya uchafu huo.Huko mitaani kwao warembo ni wengi sana kuliko hivyo vibibi vya kiyahudi walivyovikamata.
 
Kwenye Military Sciences - inatakiwa Uwe na Oxygen 24/7 yaani unaivuta Ina kuwepo[emoji16]! Maandaki Yao yana ventilators jangwani au kwenye misitu! Watawamaliza tu! Hamasi wanategemea huruma na misaada! Israel GOOGLE,IPHONE NA ATA MOBILE MONEY (MPESA.TIGOPESA.VISA)MASTECARD) NI ISRAEL INNOVATION SO kwa wiki wanapata pesa kiasi Gani! Pole and takbiriii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mkiombea uthibitisho hata kutoka Aljazeera hamna
 
Hamas ni waislamu sidhani kama watafanya uchafu huo.Huko mitaani kwao warembo ni wengi sana kuliko hivyo vibibi vya kiyahudi walivyovikamata.
boko haram ni waislam, waliteka wasichana wabichi nigeria, baada ya miezi kadhaa, mabinti walirudi na vichanga na mimba. unafikiri huko vitani wanalala wanyama, ni hao hao.
 
Israel imeanza lini ground offensive?! Hatujasikia kauli yoyote ya waziri wa ulinzi au PM Netanyahu akiafiki kuanza uvamizi wa ardhini.
Wamefanya jana.
Hivi we unadhani jeshi litaropoka Kila hatua itayopiga???
Ile operation ya Jana ililenga kuwa locate mateka na ku locate maeneo ya mashambulizi ya Hamas .
 
Hivi mashambulizi yote hayo ya wiki 2 kwa kusaidia na majeshi yote ya NATO bado wanashindwa kungia Gaza. Wanashindwa kujua kwamba wanapigana na jeshi jengine lipo nyuma
mmepata pumz? [emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja Mtoa amalize kuwapaka kilainish mtajua hamjui
 
Sasa hapo dini imeingiaje? Hivi nyinyi warokole uchwara mbona vichwa vyenu vimejaa mavi badala ya ubongo?
[emoji23][emoji23][emoji23] kijana wa mudi ashapaniki , akili utopolo haiez handle maneno
 
Back
Top Bottom