Hamas warudisha nyuma jaribio la mwanzo la jeshi la Israel kuingia Gaza kwa miguu

wajenga uzio na wavamiz wa gaza mbona taarifa inajieleza ila hamas wametia chumv na wamesahau kufuta hiyo kauli wakiwa wanajenga uzio ,yaan wajiandae kwa ground halaf wapitie hako kasemu kamoja kalipovunjwa uzio ? akili zenu zinafanya kaz ? wkt Israel wameizunguka gaza ktk sehem 4
 

Israeli soldier killed during ground raid in Gaza, Israel’s army says.​

Hivi Isreal na marekani watajuta kuvianzisha.. maana waislam pale ni wachache kuna jeshi jengine ambalo mayahudi halioni wanapamba nalo
 
Hivi mashambulizi yote hayo ya wiki 2 kwa kusaidia na majeshi yote ya NATO bado wanashindwa kungia Gaza. Wanashindwa kujua kwamba wanapigana na jeshi jengine lipo nyuma
 
Unatia huruma sana..............kutoka kwenye inchi isiyoweza kumuua hata mende............mpaka utumie nguvu kwa mende tu ........utasikia mpige na fagio .........mkanyage huyo mpaka afe...........sababu sumu zinatoka china........... ndio utaweza kuwalimisha Jews??
 
Hamas ni waislamu sidhani kama watafanya uchafu huo.Huko mitaani kwao warembo ni wengi sana kuliko hivyo vibibi vya kiyahudi walivyovikamata.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mkiombea uthibitisho hata kutoka Aljazeera hamna
 
Hamas ni waislamu sidhani kama watafanya uchafu huo.Huko mitaani kwao warembo ni wengi sana kuliko hivyo vibibi vya kiyahudi walivyovikamata.
boko haram ni waislam, waliteka wasichana wabichi nigeria, baada ya miezi kadhaa, mabinti walirudi na vichanga na mimba. unafikiri huko vitani wanalala wanyama, ni hao hao.
 
Israel imeanza lini ground offensive?! Hatujasikia kauli yoyote ya waziri wa ulinzi au PM Netanyahu akiafiki kuanza uvamizi wa ardhini.
Wamefanya jana.
Hivi we unadhani jeshi litaropoka Kila hatua itayopiga???
Ile operation ya Jana ililenga kuwa locate mateka na ku locate maeneo ya mashambulizi ya Hamas .
 
Hivi mashambulizi yote hayo ya wiki 2 kwa kusaidia na majeshi yote ya NATO bado wanashindwa kungia Gaza. Wanashindwa kujua kwamba wanapigana na jeshi jengine lipo nyuma
mmepata pumz? [emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja Mtoa amalize kuwapaka kilainish mtajua hamjui
 
Sasa hapo dini imeingiaje? Hivi nyinyi warokole uchwara mbona vichwa vyenu vimejaa mavi badala ya ubongo?
[emoji23][emoji23][emoji23] kijana wa mudi ashapaniki , akili utopolo haiez handle maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…