Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Magaidi wa Hamas Wiki hii walitangaza kwa mbwembwe nyingi kuwa Jumamosi haitawaachia mateka wa Israel kwa sababu mbalimbali ilizozisema kisha Trump katangaza kiama kwa magaidi hao na mwisho Waziri Mkuu wa Israel yeye Ali Waambie magaidi hao kuwa atafungulia lango la kuzimu kwa magaidi hao na hak utakuwa tena usitishwaji mapigano hadi magaidi hao wang’olewe huko Gaza ikiwa Jumamosi hawatawaachia mateka wa Israel. Waziri wa ulinzi wa Israel naye alianza kuifanyia kazi mara moja krauli ya Netanyahu kwa kufurahia likizo zote kwa wanajeshi wa Israel na kuli weka jeshi hilo kącika hali ya Tahadhali(High Alert) kukabiliana na tishio hilo la magaidi wa Hamas.

Baada ya Hamas kuona Mkwara mbuzi huo leo asubuhi wameamua kutii na wamesema Jumamosi watawatoa hao mateka bila wasi wasi.
 

Attachments

  • IMG_0094.jpeg
    IMG_0094.jpeg
    148 KB · Views: 1
Wewe ni mwehu sana, nani atasoma huu upuuzi wako ungeijua dini ya mayahudi wala usingekuja hapa na ufurukutwa, mayahudi wanamtukana yesu na kumwita mtoto wa zinaa, dini yao ni judaysim na katika hii vita waliwauwa kwanza wakiristo ndio wakaja kwa waislam, siju unatetea nini

Wenzako wanaojielewa huko duniani na hata huko Israel wanaandama kupinga ushetani wa Netanyahu,
Kuhusu ugaidi ata wewe unaeshabikiwa watu kuuliwa ni gaidi usiye na shaka
 
Mwaka na nusu hawajuwi mateka wako wapi?Stupid IDF
Kinachofanya israel washindwe kuwakomboa mateka wao ni nini haswa? Wana jeshi imara,mbinu na silaha nzito za kutosha why?

Hamas waliwezaje kuingia israel wakawachukua mateka na kuondoka nao?
Waliowachukua kwani hawajui pa kuwarudisha? Hamas wanatambua kuwa ni jukumu lao kuwarudisha
 
Wewe ni mwehu sana, nani atasoma huu upuuzi wako ungeijua dini ya mayahudi wala usingekuja hapa na ufurukutwa, mayahudi wanamtukana yesu na kumwita mtoto wa zinaa, dini yao ni judaysim na katika hii vita waliwauwa kwanza wakiristo ndio wakaja kwa waislam, siju unatetea nini

Wenzako wanaojielewa huko duniani na hata huko Israel wanaandama kupinga ushetani wa Netanyahu,
Kuhusu ugaidi ata wewe unaeshabikiwa watu kuuliwa ni gaidi usiye na shaka
Wao wanajua waisrael ni wakristo
 
Mwaka na nusu hawajuwi mateka wako wapi?Stupid IDF
Hujui kitu wewe!! Hivi unajua kuwa Magaidi wa Hamas waliteka mateka toka Israel 251 na sasa mateka waliobaki na magaidi hao ni 76 tu? Asilimia kubwa wamerudishwa nakushangaa wewe unayelalamika na kubwabwaja ovyo kuhusu mateka. IDF wako vizuri sana wameweza kuwa tia adabu Hamas,Hezbollah na Houth pia wameweza kusaidia Dikteta Assad kuanguka kirahisi na kuufuta uongozi wa Hezbollah akiwemo Hassan Nasrallah
 
Wewe ni mwehu sana, nani atasoma huu upuuzi wako ungeijua dini ya mayahudi wala usingekuja hapa na ufurukutwa, mayahudi wanamtukana yesu na kumwita mtoto wa zinaa, dini yao ni judaysim na katika hii vita waliwauwa kwanza wakiristo ndio wakaja kwa waislam, siju unatetea nini

Wenzako wanaojielewa huko duniani na hata huko Israel wanaandama kupinga ushetani wa Netanyahu,
Kuhusu ugaidi ata wewe unaeshabikiwa watu kuuliwa ni gaidi usiye na shaka
Ilo jamaaa lofa la kidini kutwa kufanya propaganda itakuwa mchungaji kaona kupiga kulele kwenye kijiwe chake cha kuwatafuna totoz jinga jinga kupitia jina laYesu mijitu izambi hatari!!
 
Magaidi wa Hamas Wiki hii walitangaza kwa mbwembwe nyingi kuwa Jumamosi haitawaachia mateka wa Israel kwa sababu mbalimbali ilizozisema kisha Trump katangaza kiama kwa magaidi hao na mwisho Waziri Mkuu wa Israel yeye Ali Waambie magaidi hao kuwa atafungulia lango la kuzimu kwa magaidi hao na hak utakuwa tena usitishwaji mapigano hadi magaidi hao wang’olewe huko Gaza ikiwa Jumamosi hawatawaachia mateka wa Israel. Waziri wa ulinzi wa Israel naye alianza kuifanyia kazi mara moja krauli ya Netanyahu kwa kufurahia likizo zote kwa wanajeshi wa Israel na kuli weka jeshi hilo kącika hali ya Tahadhali(High Alert) kukabiliana na tishio hilo la magaidi wa Hamas. Baada ya Hamas kuona Mkwara mbuzi huo leo asubuhi wameamua kutii na wamesema Jumamosi watawatoa hao mateka bila wasi wasi.
Zwazwa limekuja na Uzi wake!!!!
 
Magaidi wa Hamas Wiki hii walitangaza kwa mbwembwe nyingi kuwa Jumamosi haitawaachia mateka wa Israel kwa sababu mbalimbali ilizozisema kisha Trump katangaza kiama kwa magaidi hao na mwisho Waziri Mkuu wa Israel yeye Ali Waambie magaidi hao kuwa atafungulia lango la kuzimu kwa magaidi hao na hak utakuwa tena usitishwaji mapigano hadi magaidi hao wang’olewe huko Gaza ikiwa Jumamosi hawatawaachia mateka wa Israel. Waziri wa ulinzi wa Israel naye alianza kuifanyia kazi mara moja krauli ya Netanyahu kwa kufurahia likizo zote kwa wanajeshi wa Israel na kuli weka jeshi hilo kącika hali ya Tahadhali(High Alert) kukabiliana na tishio hilo la magaidi wa Hamas. Baada ya Hamas kuona Mkwara mbuzi huo leo asubuhi wameamua kutii na wamesema Jumamosi watawatoa hao mateka bila wasi wasi.
Nilipona heading kubadirisha nilijua wale wanaohifadhi mapipa ya damu wana wa jumapili sishangai
 
Kinachofanya israel washindwe kuwakomboa mateka wao ni nini haswa? Wana jeshi imara,mbinu na silaha nzito za kutosha why?

Hamas waliwezaje kuingia israel wakawachukua mateka na kuondoka nao?
Kujibu Maswali yako kwanza uache kulialia wakati Israel inajibu mapigo!!! Uache kukimbia free free!!! Wala watoto wanauwawa mara Genocide!!
 
Ilo jamaaa lofa la kidini kutwa kufanya propaganda itakuwa mchungaji kaona kupiga kulele kwenye kijiwe chake cha kuwatafuna totoz jinga jinga kupitia jina laYesu mijitu izambi hatari!!
Najua utabwabwaja sana tu maana mlishazoea kulishwa Matango pori acha sasa niwa pe ukweli muache kudanganya watu!! Unaongelea dini kwani hapa tuko kwenye Ibada? Kwa taarifa yenu Mwaka huu Hamas watajuta kuongea kiarabau!!
 
Zwazwa limekuja na Uzi wake!!!!
Safari hii waongo waongo mttanikoma mmezoea kudanganya sana watu na mika biwa ukweli mnaanza matusi na kuleta udini wa kijinga . Magaidi wa Hamas Wame tema nyongo sasa anzeni kuwasafisha kwa uongo niko hapa full time kuwaumbua
 
Back
Top Bottom