Hamas wateka askari wapya wa Israel ndani ya Gaza.Mateka wa zamani baadhi wapatikana wakiwa wamekufa.

Hamas wateka askari wapya wa Israel ndani ya Gaza.Mateka wa zamani baadhi wapatikana wakiwa wamekufa.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Abu Ubaida,yule msemaji machachari wa Hamas ametoa video ikionesha askari kadhaa wa Israel waliotekwa nyara baada ya wenzao kufa na wengine kujeruhiwa.
Kwa mujibu wa Abu Ubaida tukio hilo lilitokea ndani ya kambi ya Jabalia kaskazini ya jiji la Gaza ambayo kwa wiki kadhaa imekuwa kitovu cha vita vikali baina ya Hamas na jeshi la Israel.
Kutekwa kwa askari hao wapya zaidi ya miezi 7 ya vita kunatokea sambamba na kuokotwa kwa maiti kadhaa za mateka wanaotafutwa na jeshi la Israel ndani ya jimbo hilo.Katika kipindi cha wiki 2 maiti za matekwa hao zimekuwa zikiokotwa na jeshi la Israel katika vikundi vya watatu watatu.

Hamas says it captured Israeli soldiers in Gaza; Israel denies

 
Sio kweli unawajua israel ww iran yenyew chali mbele ya israel sembuse hawo kamas sijui mavi
 
Low-cal ya IDF inaitika sasa nani katekwa? Hamas wajua IDF wote wana tracking System wakibugi wameisha
 
Hamas leo washaanza upya Maigizo eti Camp imelipuliwa na Airstrike wakati wamewasha moto mabanda.. raia wote washahama Raffah waliobaki ni magaidi tupu
 
Back
Top Bottom