Viongozi wa hamas wanakataa mapumziko huko wao wamejificha lebanon, Qatar, syria wapalestina wanaendelea kukaangwa na mabomu ya israel
Pesa imeanza kukata na uchumi kudorora .1. Kwamba Israel na Marekani walihitaji mapumziko uchwara ya wiki 6 kurejelewa vita baada ya Ramadhani.
2. Kwamba katika kipindi hicho waachiliwe mateka wao wote nao wataachia mamia ya wafungwa.
View attachment 2927238
Mpango gani huo?
Truce maana yake vita kusimama, Israel kuondoka Gaza, kuwajibishwa kwa mvamizi na hatua thabiti kuchukuliwa sasa kuhikikisha uchokozi kama huu unakoma milele:
Two states solution.
Sawa! Mapambano dhidi ya ugaidi yaendelee
Hivi mbona sioni hamas wakijibu mashambulizi? Naona israel anawabonda tu hata warushi tena roket
Ukombozi gan ww
Wale masheikh akina Mwaipopo wana undugu na DP WORLD?jitihada zao zilikuwa ni athari za kikoloni na utumwa.
Vita inapisha mfungo wa Ramadhan 😂
Mkuu kuna watu wanachelewa sana kuelewa, hoja uliandika inahitaji kuweka ushabiki kando na kuandaliwa utu, na hapo ndipo ilipo ugumuwaliokufa 27k bado mnataka wamalize palestina nzima muingie kwene Palestina holocaust.
Usichezee watu waliosavive genocide wanahasira ukiua mmoja wao wataua 1000
Haiqezi kuja kutokea hao waarabu watarudishwa kwao misri lebanone syria na jordan walikptokea mwanzoDunia nzima inaujua ukombozi unaohitajika. Wapalestina wanahitaji taiga lao.
Hili kauli:
"Two states solution."
Ni ngeni kabisa kwako?
Wazipige tu HAKUNA namna
pekeka naww mtoto wako akapiganeKwa hakika kama ni "pause" kupisha Ramadhani na zipigwe tu!
Mwomga "pause:" Israel na Marekani.
Mkataa hoja: HAMAS na Palestina.
Kwa hakika na zipigwe tu.
huyu nae alikua fala tu ndo maana SA hadi leo ni masikini ya kutupwaMasheikh au madhehebu zozote za dini hazihusiki Gaza:
View attachment 2927619
Mzozo wa Gaza si wa kidini.
Mkuu kuna watu wanachelewa sana kuelewa, hoja uliandika inahitaji kuweka ushabiki kando na kuandaliwa utu, na hapo ndipo ilipo ugumu
pekeka naww mtoto wako akapigane
Hamna cha ukombozi. Ule ni ugaidi fullHadi taiga huru la Palestina kupatikana. ANC iliasisiwa 1912 kupigania uhuru uluopatikana 1994. Wahanga walikuwa wangapi?
Vita vya ukombozi vinahitaji wanaume haswa. Zingatia kina Winnie walikuwa baadhi ya wanaume washoka hao.
Vikaragosi kama nyie ndiyo zile design za kina Buthelezi kwenye ubora wenu.
Hamna cha ukombozi. Ule ni ugaidi full
ya kugharamikia vita ya kupigana Israeli anapigana moden war .. tofouti na hamasi ... kwa siku matumizi ya vita ni dolla mi 50Pesa ipi mkuu?