Hamas yakanusha madai ya Israel ya kusonga mbele Gaza. Waonesha video za kipigo chao kwa IDF

Hamas yakanusha madai ya Israel ya kusonga mbele Gaza. Waonesha video za kipigo chao kwa IDF

Idf waoga sana ndio maana walitaka internet isiwepo ili kuficha aibu
US na Europe wana msaidia Israel na wote wanarudisha maiti nchi zao walidhani Hamasi ni mchezo 😄

Afu hao wakisema Israel ipo Centre Gaza ujuwe wapo border
 
Katika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.

Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.

Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.

Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.

Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.

Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Israel hamna Jeshi pale ni Wanamgambo tu tena bora hata Suma JKT
 
Katika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.

Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.

Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.

Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.

Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.

Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Mkuu unajifariji 😂🤣😃😃🤣
Baada ya kichapo cha IDF kukolea
 
Katika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.

Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.

Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.

Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.

Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.

Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Wameamua kufa kisabuni
 
NAWAOMBENI NDUGU ZANGU WAISLAMU MTUOMBEE SISI WARAABU WA GAZA MAANA KICHAPO KIMETUZIDIA WALAH BILAH .
ENYI UMMA WA KUICHUKIA ISRAEL MTUOMBEE TWAFAAAA!!!😫😫
 
Walahiii tunakanusha tu kujikaza ila twafa huku,,,albadiri hazifanyi kazi kwa wayahudi.
Mzee huyu amekubali kua aliingizwa mkenge kuanzisha vita wasiyoiweza..
Screenshot_20231107-120716_1.jpg
 
Najiuliza sana kwanini hao HAMAS wenyewe wasiingie ndani ya ISRAEL na kuisamabaratisha kabisa?

kwanini wadokoe dokoe kama PANYA na kukimbilia kwenye mashimo?
Hawana ndege za kivita na vifaru,wasipokimbilia chini, Israel watatumia ndege za kivita kuwamaliza,na itakua rahisi kwa Israel Jambo ambalo si zuri kwa hamas
 
Eeeeeh mola wetu wa kiarabu ALLAH utukumbuke sisi waja wako waarabu wa Hamas.
Maana mungu wa wayahudi YEHOVA anaonekana kakuzidi Nguvu na maarifa??
Maana tunachapika na wewe hutusaidii??
TUNAPIGIKA SANA NA HAWATAKI CEASE FIRE
 
Katika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.

Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.

Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.

Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.

Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.

Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Video Iko wapi?
 
Calendar of Resistance for Palestine! Events and actions around the world

7 October 2023

Everywhere around the world, millions are marching for Palestine. Over 300,000 took the streets of Washington, DC, in the belly of the beast, to stand with the Palestinian people against Zionist genocide. Labourers from Belgium to Japan to Barcelona have refused to load and carry weaponry for the occupation regime, while Block the Boat protests from Oakland to Tacoma have delayed, blocked and confronted US military ships loading war materiel. Palestine Action direct actions are challenging Elbit Systems from Cambridge to Leicester. In train stations, parliamentary and congressional offices and public venues, people are sitting in for Palestinian liberation.

Calendar of Resistance for Palestine! Events and actions around the world
 
Hamas ni sawa na mwanaume anayempgia puli mke wa jirani yake kwa hisia kama yupo nae halafu akishakojoa anajisifu kua kamtomb.. mke wa jirani yake

Huna hoja, unaongea maneno machafu hata aibu huoni! Pole sana

Mayahudi wanauwa watoto na wamama
Hamas wanauwa wanajeshi

Sijui nani yupo sahihi hapo! Kaa utafakari, na uache chuki
 
Watoa propaganda ni wale walio vuruga Internet ili watu wasipate habari za uhakika kwenye uwanja ili wao walishe watu propaganda kupitia vyombo vyao vya habari.
Watu wanaikombia ardhi ya mababu zao mdogomdogo 😂😂😂🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
F-gJDIfaUAAmeHv.jpeg
F-gIwGBWsAA8FpZ.jpeg
 
Jiulize kwanini Israel imekata mawasiliano yote na imechagua waandishi wa habari wa kufuatana nao na wamepewa sharti la kutorusha habari zao mpaka kwanza zisomwe na IDF.
Kwa rehema za Mungu vita hivi ni tofauti na walivyopigana miaka ya nyuma.Yajayo ni kheri kubwa.
Umefanya uzembe wa hali ya juu kuzungumzia video kwenye heading yako huku ndani hujaiweka..

Hauitendei JF haki yake. Hii forum ina hadhi yake.
 
Najiuliza sana kwanini hao HAMAS wenyewe wasiingie ndani ya ISRAEL na kuisamabaratisha kabisa?

kwanini wadokoe dokoe kama PANYA na kukimbilia kwenye mashimo?
Exactly wandonyoa kama panya kwa kuwa wao nin I kikundi tu cha wanamgambo.

Unasema kuingia ndani ya Israel? Umesahau 7/10 kilichosababisha yote unayoyaona na kuyasikia leo?
 
Katika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.

Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.

Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.

Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.

Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.

Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Hiyo ni propaganda!
Angalia hii..
👇
 
Back
Top Bottom