Hamas yakanusha madai ya Israel ya kusonga mbele Gaza. Waonesha video za kipigo chao kwa IDF

Hamas yakanusha madai ya Israel ya kusonga mbele Gaza. Waonesha video za kipigo chao kwa IDF

Lakini carpet bombing siyo nzuri. Wanataka waingie Gaza Ikiwa tambarare bila kujali civilian casualties?
hamas ni makomandoo sio wa kuwazarau, isingekuwa silaha na technolojia israel wangepigwa sana. kuliko kupoteza askari au watekwe israel wameamua kutumia njia ya aina hiyo, kwenda polepole kwa uangalifu. hawajawadharau.
 
Unawasikiliza hawa jamaa
Katika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.​

Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.

Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.

Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.

Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.

Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
View attachment 2809025
 
Hakuna picha za raia 1400 wa Israel waliouawa,maiti chache zilizokutwa zinaonekana hazikupigwa na risasi Bali athari ya vifaru,Hamas hawakuwa na vifaru walipoingia Israel
Vipi wewe Ushasikia Hamas wamekufa na wao wamethibitisha hadi sasa?
 
Lakini carpet bombing siyo nzuri. Wanataka waingie Gaza Ikiwa tambarare bila kujali civilian casualties?
Jinai inafanyika mbele ya macho ya walimwengu
 
Usijali kila kitu kilikuwa kimepangwa.Wana uzoefu wa miaka mingi ya hasira za IDF.
Wale wanaokwenda kusini baadae watarudi huku huku kaskazini.Na uzuri mwengine kama umeona karibu kila mwanamke amebeba mtoto mchanga mikononi mwake na idadi kubwa ya wapalestina ni watoto.
So Gaza ni kiwanda cha kuzalisha watoto... wanapigana sana miti.. Usikute Gaza ndio Jenha kwenye wale Mabikira 70 Uzao mmoja na Allah
 
So Gaza ni kiwanda cha kuzalisha watoto... wanapigana sana miti.. Usikute Gaza ndio Jenha kwenye wale Mabikira 70 Uzao mmoja na Allah
Mipango ya Mungu hiyo.Na hakuna mwenye uwezo kupambana naye akashinda.
Sisi wengine twatamani watoto na pamoja na kutumia gharama kubwa hakuna mafanikio.
Hilo la watoto wa Palestina hata Israel wanajuwa lakini pamoja na kuwafanyia vitimbi vya kuuwa uzazi na kwaoua kwa mabomu bado kazi inaendelea.
 
Hakuna uvivu.Nilikuwa naelekea madrasa tu kwa haraka.Lakini tayari nimeshakuwekea.Angalia pale juu utaona kazi inavyoendelea.
Sasa mbona ni miundombinu yao wenyewe wanaharibu na nimeshuhudia wanajeshi waxhache sana wanaodhurika tofauti na mnavyohariri. Halafu wame edit hiyo video kama movie za rambo. Jamaa miyetusho sana
 
Back
Top Bottom