Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
US na Europe wana msaidia Israel na wote wanarudisha maiti nchi zao walidhani Hamasi ni mchezo ๐Idf waoga sana ndio maana walitaka internet isiwepo ili kuficha aibu
Israel hamna Jeshi pale ni Wanamgambo tu tena bora hata Suma JKTKatika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.
Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.
Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.
Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.
Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.
Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Mkuu unajifariji ๐๐คฃ๐๐๐คฃKatika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.
Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.
Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.
Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.
Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.
Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Mkuu kichapo kibaya mnajifarijiIsrael hamna Jeshi pale ni Wanamgambo tu tena bora hata Suma JKT
Wameamua kufa kisabuniKatika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.
Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.
Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.
Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.
Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.
Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Kichapo gani anapiga wanawake na watoto awatafute wanaume Hamas tuone sio wanarusha rusha mabomu kwa uwoga kuua raiaMkuu kichapo kibaya mnajifariji
Waambie watoke mashimoni wapambane na wanaume wenzao juu,Kichapo gani anapiga wanawake na watoto awatafute wanaume Hamas tuone sio wanarusha rusha mabomu kwa uwoga kuua raia
WALAAHI BILAI YA' MUHAMMAD LASUURA.Waambie watoke mashimoni wapambane na wanaume wenzao juu,
Hawana ndege za kivita na vifaru,wasipokimbilia chini, Israel watatumia ndege za kivita kuwamaliza,na itakua rahisi kwa Israel Jambo ambalo si zuri kwa hamasNajiuliza sana kwanini hao HAMAS wenyewe wasiingie ndani ya ISRAEL na kuisamabaratisha kabisa?
kwanini wadokoe dokoe kama PANYA na kukimbilia kwenye mashimo?
Hakuna picha za raia 1400 wa Israel waliouawa,maiti chache zilizokutwa zinaonekana hazikupigwa na risasi Bali athari ya vifaru,Hamas hawakuwa na vifaru walipoingia IsraelWalahiii tunakanusha tu kujikaza ila twafa huku,,,albadiri hazifanyi kazi kwa wayahudiView attachment 2808960
Video Iko wapi?Katika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.
Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.
Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.
Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.
Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.
Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,
Hamas ni sawa na mwanaume anayempgia puli mke wa jirani yake kwa hisia kama yupo nae halafu akishakojoa anajisifu kua kamtomb.. mke wa jirani yake
Watu wanaikombia ardhi ya mababu zao mdogomdogo ๐๐๐๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ฑWatoa propaganda ni wale walio vuruga Internet ili watu wasipate habari za uhakika kwenye uwanja ili wao walishe watu propaganda kupitia vyombo vyao vya habari.
Umefanya uzembe wa hali ya juu kuzungumzia video kwenye heading yako huku ndani hujaiweka..Jiulize kwanini Israel imekata mawasiliano yote na imechagua waandishi wa habari wa kufuatana nao na wamepewa sharti la kutorusha habari zao mpaka kwanza zisomwe na IDF.
Kwa rehema za Mungu vita hivi ni tofauti na walivyopigana miaka ya nyuma.Yajayo ni kheri kubwa.
Exactly wandonyoa kama panya kwa kuwa wao nin I kikundi tu cha wanamgambo.Najiuliza sana kwanini hao HAMAS wenyewe wasiingie ndani ya ISRAEL na kuisamabaratisha kabisa?
kwanini wadokoe dokoe kama PANYA na kukimbilia kwenye mashimo?
Hiyo ni propaganda!Katika hali isiyotegemewa kabisa.Viongozi wa kundi la Hamas wamekanusha madai ya jeshi la Israel kwamba wamepoteza udhibiti wa Gaza na kwamba jeshi la Israel limesonga mbele mpaka katikati ya Gaza.
Mshangao unakuja kutokana na ukubwa wa mashambulizi yaliyofanywa na jeshi la Israel na kutoa moto mkubwa unaokaribia mawinguni kila baada ya robo saa kwa usiku na mchana.
Mapigo hayo yamefanyika huku jiji hilo likiwa limekatiwa umeme,chakula na maji.Katika hali hiyo kila mmoja alihofia kuwa wapiganaji wa Hamas wameshadhoofika na kufa ndani ya mahandaki yako.
Kinyume chake wameibuka juu na kukanusha madai ya Israel kwamba kwamba kundi hilo limepoteza udhibiti wa Gaza.Pamoja na kukanusha huko wamesambaza video ambayo imethibitishwa na televisheni kadhaa ikiwemo aljazeera ikiwaonesha wapiganaji hao wakiripua vifaru ya Israel kwa kutumia bunduki za RPG.
Video na ukanushaji huo wa Hamas unakubaliana na madai yao kuwa wameshauwa askari wengi wa Israel na kuhjaribu magari yao 136 na kwamba jeshi hilo kwa sasa limeshindwa kusonga mbele.
Uwezekano wa kutosonga mbele utaongezeka pindi Hamas wakiweza kuhimili kipigo kwa wiki chache zijazo,