Hamas yatoa takwimu za misikiti na makanisa yaliyoharibiwa na mayahudi. Yatoa wito kwa waislamu na wakristo kulinda tamaduni zao

Waache kulialia kama vijana wa UVCCM
 
Hivi kale kakikundi ka WAHUNI(magaidi) wa Yemen kanako fadhiliwa na Jamhuri ya Kiislamu( kigaidi) ya Iran kapo? Wamepotea sana
Inaonekana wewe ndio umepotea mtandaoni.
Marekani na UK wamepiga sana na jamaa bado wapo wanazamisha meli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…