HAMAS yatuma salamu za Christmas kwa wakristo

HAMAS yatuma salamu za Christmas kwa wakristo

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Hapa chini ni salamu za Christmas kwenda Kwa nduguze wakristo:

Screenshot_20231224-233721.jpg


Screenshot_20231224-233745.jpg


2. Ama kwa hakika ukitaka kumwua nyani usimwangalie usoni.

3. Ukitaka kumwamgamiza mtu mtafutie jina baya.

4. Mbowe, Slaa, Mwabukubusi na kina Mdude waliitwa magaidi "to justify the end."

5. Ningali na scan kutafuta salamu za Christmas kutokea CCM, Chadema, TLP, DEMOCRATS, GOP, ISIS, Al Shaabab, Azimio, nk.

6. Hapo #5 kupata picha ya magaidi wa ukweli in a nutshell.
 
Gaidi ni yule muislam anaezijua haki zake na kuwapinga wakandamizaji. Ukimuona muislam mtoto wake anaoa au anaolewa na asiekuwa muislam kwake ni sawa huyo daima hataitwa gaidi.
Muislam anaeoa au kuolewa na asiemuislam huyo ndio anaependwa na wasiokuwa waislam. Lkn siku ya hesabu Majuto makubwa yatamkumba
 
Gaidi ni yule muislam anaezijua haki zake na kuwapinga wakandamizaji. Ukimuona muislam mtoto wake anaoa au anaolewa na asiekuwa muislam kwake ni sawa huyo daima hataitwa gaidi.
Muislam anaeoa au kuolewa na asiemuislam huyo ndio anaependwa na wasiokuwa waislam. Lkn siku ya hesabu Majuto makubwa yatamkumba

1. Mbowe, Slaa, Mwabukubusi au Mdude waliitwa magaidi lakini hawakuwa waislam.

2. Nadhani gaidi ni yule anayezijua haki zake anaposimama dhidi ya wenye madaraka na hasa walamba asali.
 
1. Hapa chini ni salamu za Christmas kwenda Kwa nduguze wakristo:

View attachment 2852233

View attachment 2852236

2. Ama kwa hakika ukitaka kumwua nyani usimwangalie usoni.

3. Ukitaka kumwamgamiza mtu mtafutie jina baya.

4. Mbowe, Slaa, Mwabukubusi na kina Mdude waliitwa magaidinto justify the end.

5. Ningali na scan kuutafuta salamu za Christmas kutokea CCM, Chadema, TLP, DEMOCRATS, GOP, ISIS, Al Shaabab, Azimio nk.

6. Hapo #5 kupata picha ya magaidi wa kweli in a nutshell.
HATUZITAKI HIZO SALAM.

JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE
 
HATUZITAKI HIZO SALAM.

JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE
Na angalia pale Malaika walipo sema: ‘Ewe Maryamu! Kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuteuwa, na akakutakasa, na akakutukuza kuliko wanawake wote.Ewe Maryamu! Mnyenyekee Mola Mlezi wako na usujudu na uiname pamoja na wainamao.’” (Kurani 3:42-43)


MARYAM HUYU MAMA YAKE YESU
 
1. Hapa chini ni salamu za Christmas kwenda Kwa nduguze wakristo:

View attachment 2852233

View attachment 2852236

2. Ama kwa hakika ukitaka kumwua nyani usimwangalie usoni.

3. Ukitaka kumwamgamiza mtu mtafutie jina baya.

4. Mbowe, Slaa, Mwabukubusi na kina Mdude waliitwa magaidinto justify the end.

5. Ningali na scan kuutafuta salamu za Christmas kutokea CCM, Chadema, TLP, DEMOCRATS, GOP, ISIS, Al Shaabab, Azimio nk.

6. Hapo #5 kupata picha ya magaidi wa kweli in a nutshell.
Hamas hawajawahi kutuma salamu za Christmass kwa Wakristo tangu mwanzo wa enzi.Why now?
 
Hamas hawajawahi kutuma salamu za Christmass kwa Wakristo tangu mwanzo wa enzi.Why now?

Umejua je? Sijazisikia hata za CCM, TLP, CUF, UVCCM, RPF, FRELIMO nk why not, even of now?
 
Jana magaidi 70 ya familia moja yameuliwa pamoja na watoto na wanawake Gaza kwa kudondoshewa kitu kizito chenye ncha butu kikigusa ardhi tu kinalipuka pah.

Liangalie hilo njemba linavyolia mbele ya camera. Si anauhakika huo mzoga alioubeba utaenda peponi? Sasa kwanini alielie mbele ya camera? No MERCY.

Justice for Joshua and Clemence.
View attachment 2852246

Ritz ITR

Duuuuh, Mzee kuwa na Chembe ya Ubinadamu hata kidogo bas
 
Na angalia pale Malaika walipo sema: ‘Ewe Maryamu! Kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuteuwa, na akakutakasa, na akakutukuza kuliko wanawake wote.Ewe Maryamu! Mnyenyekee Mola Mlezi wako na usujudu na uiname pamoja na wainamao.’” (Kurani 3:42-43)
Asante kwa andiko, sasa tupe na ile andiko inasema kwamba yule aliembebea Yesu msalaba ndie aliesulubiwa Ila Yesu mwenyewe aliingia mitini kuikwepa misumali
 
Back
Top Bottom