Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Nyie ndugu zetu tunapishana kwa kitu kimoja tu, we mungu wako binadamu, sisi Mungu wetu aliye umba kila kitu vliopo ardhini na mbinguni.Adios bana hahaha nimecheka balaa. Ila nyie wadau wa upande mwengine full vituko yani full kucheka hakuna kukasirika. Nimecheka balaa
Hivi Yesu anaweza kukumba wewe, au hata sisimizi?