Hayo maandiko yanapatikana wapi au ni bangi tu.Hawakumuua wala hawakumsulubu bali walifananishwa nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maandiko yanapatikana wapi au ni bangi tu.Hawakumuua wala hawakumsulubu bali walifananishwa nae
Watume salaam hizi kwa familia za Molel na mwenzake waliowaua.1. Hapa chini ni salamu za Christmas kwenda Kwa nduguze wakristo:
View attachment 2852233
View attachment 2852236
2. Ama kwa hakika ukitaka kumwua nyani usimwangalie usoni.
3. Ukitaka kumwamgamiza mtu mtafutie jina baya.
4. Mbowe, Slaa, Mwabukubusi na kina Mdude waliitwa magaidi "to justify the end."
5. Ningali na scan kuutafuta salamu za Christmas kutokea CCM, Chadema, TLP, DEMOCRATS, GOP, ISIS, Al Shaabab, Azimio nk.
6. Hapo #5 kupata picha ya magaidi wa kweli in a nutshell.
Ni mtu mjinga tu anayeweza kusema waisraeli wanaua magaidi.israel wanaua watu wasio na hatia.kama unataka kuonesha wewe sio mjinga thibitisha kwamba hao waliouawa ni magaidi bila hivyo wewe ni mjinga na hufai hata kuwa mkristo.kwa sababu sifa moja wapo ya Ukristo ni kutokufanya au kusapoti unyanyasaji.alafu unaonesha ujinga wako hadharani.Jana magaidi 70 ya familia moja yameuliwa pamoja na watoto na wanawake Gaza kwa kudondoshewa kitu kizito chenye ncha butu kikigusa ardhi tu kinalipuka pah.
Liangalie hilo njemba linavyolia mbele ya camera. Si anauhakika huo mzoga alioubeba utaenda peponi? Sasa kwanini alielie mbele ya camera? No MERCY.
Justice for Joshua and Clemence.
View attachment 2852246
Ritz ITR
Thibitisha kwamba hao ni magaidi or you are just fool.Jana magaidi 70 ya familia moja yameuliwa pamoja na watoto na wanawake Gaza kwa kudondoshewa kitu kizito chenye ncha butu kikigusa ardhi tu kinalipuka pah.
Liangalie hilo njemba linavyolia mbele ya camera. Si anauhakika huo mzoga alioubeba utaenda peponi? Sasa kwanini alielie mbele ya camera? No MERCY.
Justice for Joshua and Clemence.
View attachment 2852246
Ritz ITR
Zimeletwa kwako wewe hizo salaam?HATUZITAKI HIZO SALAM.
JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE
Watume salaam hizi kwa familia za Molel na mwenzake waliowaua.
Unafiki ni jambo baya ssna
Ukristo sio dini, bali ukimkiri na kuamini ndio utakuwa wa Kristo. Yesu hakuja kueneza dini bali alikuja kiokoa waliopotea/wenye dhambi na watu wa dini ndio waliomuua.Halafu muje hapa mutuambie kama ukiristo ni dini
Palestine kuna wakristo pia, ingawa wengi wamekandamizwa sana hivyo baadhi yao kuhamia ulaya, bara la Amerika ya Kusini na Amerika ya Kaskazini pia Lebanon n.k
Soma zaidi : Wakristo wa Chile bega kwa bega na Hamas
Soma zaidi :
Hotuba ya karne ya Benjamin Netanyahu - Umoja wa Mataifa 2023
...kimagharibi na kiyahudi pia ingawa nje ya kundi hilo alionekana kama adui mkubwa kwa kukumbatia ugaidi wa wapalestina. Wazazi wake Prof. Edward Said yaani mama yake alizaliwa Nazareth huku baba mzaliwa wa Jerusalem. Baadaye wazazi wake walihamia Lebanon na kuwa raia wa huko Lebanon ingawa...
Ukristo sio dini, bali ukimkiri na kuamini ndio utakuwa wa Kristo. Yesu hakuja kueneza dini bali alikuja kiokoa waliopotea/wenye dhambi na watu wa dini ndio waliomuua.
Asomae na afahamu
Kiama chao kimekaribia hao magaidi.
Surat annisaa aya ya 157Emu leta hiyo Aya inatosema hivyo
1. Hapa chini ni salamu za Christmas kwenda Kwa nduguze wakristo:
View attachment 2852233
View attachment 2852236
2. Ama kwa hakika ukitaka kumwua nyani usimwangalie usoni.
3. Ukitaka kumwamgamiza mtu mtafutie jina baya.
4. Mbowe, Slaa, Mwabukubusi na kina Mdude waliitwa magaidi "to justify the end."
5. Ningali na scan kuutafuta salamu za Christmas kutokea CCM, Chadema, TLP, DEMOCRATS, GOP, ISIS, Al Shaabab, Azimio nk.
6. Hapo #5 kupata picha ya magaidi wa kweli in a nutshell.
Salamu za kinafiki hizo Hamas wamewaua joshua na clement walikuwa na hatia gani hawakuchukua ardhi ya wapalestina mbona
وَقَوْلِهِمْ إِنَّا قَتَلْنَا ٱلْمَسِيحَ عِيسَى ٱبْنَ مَرْيَمَ رَسُولَ ٱللَّهِ وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ۚ وَإِنَّ ٱلَّذِينَ ٱخْتَلَفُوا۟ فِيهِ لَفِى شَكٍّۢ مِّنْهُ ۚ مَا لَهُم بِهِۦ مِنْ عِلْمٍ إِلَّا ٱتِّبَاعَ ٱلظَّنِّ ۚ وَمَا قَتَلُوهُ يَقِينًۢا ١٥٧Emu leta hiyo Aya inatosema hivyo
وَقَوْلِهِمْ إِنَّا قَتَلْنَا ٱلْمَسِيحَ عِيسَى ٱبْنَ مَرْيَمَ رَسُولَ ٱللَّهِ وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ۚ وَإِنَّ ٱلَّذِينَ ٱخْتَلَفُوا۟ فِيهِ لَفِى شَكٍّۢ مِّنْهُ ۚ مَا لَهُم بِهِۦ مِنْ عِلْمٍ إِلَّا ٱتِّبَاعَ ٱلظَّنِّ ۚ وَمَا قَتَلُوهُ يَقِينًۢا ١٥٧Hayo maandiko yanapatikana wapi au ni bangi tu.