🤣😂😂😂Yahudi jeusi kutoka mafinga linatoa tamko.
Ngoja tukufundishe Tafsiri ya Neno Palestine. Arabs ndio Walowezi.. Huwezi waita wenye ardhi jina la kwenu linawafaaWanaukumbi.
⚡️BREAKING: Hamas sends a message to Israel and the settlers:
33 Zionist captives were killed and some of them are missing, because of the criminal Netanyahu and his fascist army. By continuing your insane war, you may lose your captives forever. Do what you must do before it is too late.
==============
Hamas yatuma ujumbe kwa Israel na walowezi:
33 Mateka wa Kizayuni waliuawa na baadhi yao hawako, kwa sababu ya mhalifu Netanyahu na jeshi lake la kifashisti. Kwa kuendeleza vita yako ya kichaa, unaweza kupoteza mateka wako milele. Fanya kile unachopaswa kufanya kabla haijachelewa.
View: https://x.com/suppressednws/status/1863631178953351401?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Inanipunguzia nini sasaYahudi jeusi kutoka mafinga linatoa tamko.
Ndicho inachotaka israel, the more mnawashikilia the more wanapata sababu ya kuendelea na mashambulizianajiami vip katoa mwelekeo kuwa mkiendelea kukaza fuvu mjue mtaenda okoa wafu. Badala ya kuweka pesa mezani njoo nyinyi mezani tuyajenge aibu yenu kushindwa na Hamas isiwe sababu ya kufa mateka mmeshindwa njoooni mezani au uneni aibu wkt mateka wakike kule pengine wanaaza kuwapenda vijana w Hamas wataolewa wale hiii vita ikisha tutajua namengine ambayo zayuni anatuficha kwasasa.
Ole wao ije ripoti ya maiti....watamwekewa vemaTrump, anasema akiingia ofisini january anataka mateka wote waachiwe atakutanana na ripoti za msiba.
israeli haijatoa hao mateka sadaka nyetanyahu ndiye aliyefanya hivyo,hawa mateka wakiisha kwa kuuliwa na IDF wenyewe basi wenye ndugu wa mateka wataondoka na roho zote za familia ya nyetanyahuKwa taarifa yako ni kwasababu ya siasa lakin Israel hao watu kashawatoa sadaka yeye ni kichapo tu
Tusipo wapata watu wetu wakiwa hai, tutawapata wakiwa wafu au mabaki yao. Haijalishi lazima HAMAS tuwaangamize wote.Wanaukumbi.
⚡️BREAKING: Hamas sends a message to Israel and the settlers:
33 Zionist captives were killed and some of them are missing, because of the criminal Netanyahu and his fascist army. By continuing your insane war, you may lose your captives forever. Do what you must do before it is too late.
==============
Hamas yatuma ujumbe kwa Israel na walowezi:
33 Mateka wa Kizayuni waliuawa na baadhi yao hawako, kwa sababu ya mhalifu Netanyahu na jeshi lake la kifashisti. Kwa kuendeleza vita yako ya kichaa, unaweza kupoteza mateka wako milele. Fanya kile unachopaswa kufanya kabla haijachelewa.
View: https://x.com/suppressednws/status/1863631178953351401?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw