The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Can't be serious, 3-6 yeye anatumia hizo minutes3-6 hours
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can't be serious, 3-6 yeye anatumia hizo minutes3-6 hours
Kabsaa haimake sense apo kaongeza chumviHaiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
Sahihi Mkuu, yaani unakaa unasema hivi kwanini nisifike walau speed 160km/hr ukifika speed hiyo unasema kwanini nisimalize kabisa dashboard 😜Kiukweli ndo maana Safari za misafara sizitaki, ukiongozana na mtu anapepea nawe utatamani kupepea
Bongo kama huna chuma kizito barabarani achana na spidi, spidi ni yawatu wazito wenye vyuma vizitoTatizo sio mwendo kasi bali mwendo kasi kwenye nchi gani na barabara gani.Nchi zetu miundombinu bado ni changamoto,unakuta barabara ni highway ila ina viraka na mashimo kama chandarua uku watumiaji wengine wa barabara nao wamejiachia bila kujali chochote.
Yani sehemu ya kutumia masaa 3 mpaka 6 yy anatumia dk 25!!??3-6 hours
...Ngumu kumeza hii ! Yaani Mahali pa MASAA MATATU, Mfano Dar - Mor, atumie NUSU SAA ???...3-6 hours
Madereva wa Probox akili zao zinafurahisha sana. Tazama huyu anavyoendeshaAliyekuwa Dereva na mmiliki wa gari ndogo, Hamis Chaurembo (27) maarufu kama SIMBA ambaye amefariki baada ya kupata ajali mbaya huko Kibondo Kigoma amezikwa jana.
Ila kuna cha kujifunza hapa kutokana na maneno ya baadhi ya marafiki zake.
"Baadhi ya A.K.A alizopambwa nazo ni pamoja na 'Mwendo wa rocket', ndege ya ardhini, Hamisi on fire' Titanic icon' Sukari ya Warembo'
"Alikuwa akitumia dk 20 hadi 25 kutoka Kibondo hadi Kakonko, watu walimpenda kwasababu ya ucheshi wake, alikuwa hana baya yeye anawasha gari hata kama amepata abiria mmoja.
"Ahadi aliyojiahidi imetimia, katika kauli zake aliwahi kusema
"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".
Sina haja ya kurithi papuchi.Ulitaka waifu aifuge!!?kaombe na wewe kama wenzako wanafaidi.
Sehemu ya masaa 3 hakuna namna unaweza kutumia dk 25, otherwise umeanza kutuletea stori za kwenye treni.3-6 hours
"Siku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote."
Kazi kweli kweli.
Ni kama km 60 hv3-6 hours
Kibondo to kakonko saa moja mkuu3-6 hours
Ni kama km 60 hv
Pro box aka mchomoko imegomgana na tipper ya Mchina
Ukitokea kigoma au kasulu unaingia kakonko kwanza ndio kibondo ukiwa unaelekea mwanzaSio kweli…kutoka Kigoma mjini Kibondo unafika around saa 5 na Kakonko around 6 na nusu mchana ukiwa unaelekea Mwanza kwa basi
Ukitokea kigoma au kasulu unaingia kakonko kwanza ndio kibondo ukiwa unaelekea mwanzSio kweli…kutoka Kigoma mjini Kibondo unafika around saa 5 na Kakonko around 6 na nusu mchana ukiwa unaelekea Mwanza kwa basi
Nane mbona wachache jomba? ... Siku moja nimeshuhudia watu wanapangwa, wanne mbele akiwemo dereva. Katikati wanne na nyuma kwenye boot wanne pamoja na mizigo. Na bado dereva alitaka kuongeza ... Nikashuka na kuchukua boda boda Kakonko - Kibondo kwa 20,000/=Probox inabeba watu wangapi kwani???? Duu yani hao wote 8 walikiwa kwenye probox