Hamis Kigwangalla inakuwaje unashindwa kudhibiti hasira zako? Ona sasa umepatwa na janga

Sasa mnamuita huyu mhuni mheshiniwa? Acheni utani aisee! Mbunge gani mpuuzi hivi?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Moja kati ya maajabu ni huyu jamaa kuwa Mbunge. Mimi nilifikiri tunapaswa kutanguliza watu makini mbele. Bongo ni tofauti, watu wa hovyo ndio tumetanguliza mbele
Ilishanenwa hivyo katika Biblia

Mhubiri 10:5‭-‬7 SUV
Liko baa nililoliona chini ya jua, nalo ni kama kosa litokalo kwake yeye atawalaye; ya kuwa upumbavu huwekwa mahali pa juu sana, nao wakwasi hukaa mahali pa chini. Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi kama watumwa.
 
Yaani doc, nimesikitika sana, umeshindwaje kudhibiti hasira zako hadharani?

Kwanini uwe gumzo kwa migogoro na wafanyakazi wako, hasa kwenye kuwanyima haki zao?

Haya yetu macho
Yule ni mbumbumbu sana ndio maana mgomvi mgomvi tu,na anatumia vibaya sana mamlaka akiwa nayo,shortly ni takataka and highly pompious
 
Ndiye yule aliwahi kuongea bungeni kuwa Tundu Lissu ni mgonjwa wa akili kwani yeye ni Daktaru na, aliwahi kuli attend file lake pale Muhimbili. Wakati dunia inajua kuwa hajawahi kuwa na leseni ya udaktari.
Jamaa ni muendelezo wa vichwa vya hovyo vimekua vikiubuliwa na familia ya JK
 
Mbaya sana ikifikia kwenye nchi kiongozi anafanya anavyotaka, haya mambo ndio tunamkumbuka magufuli aliweza kudhibiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…