warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ila simshangai bibie, we all have our first flying moment , tena ndo ukipanda business class uwii , utatamani dunia nzima ijue, Ila kwa level ya hamisa , ki ukweli nikujiaibisha sana , tunajua maisha aliyopitia pengine hakuwaza leo atakuja kupanda Emirates tena business class🤣🤣, bibie akaamua asipitwe kwanza ngoja aka capture rarely moment. Sasa mtu wa kupiga passport picha na ticket then uanze kujifananisha na akina zari ? , yani Leo ndio nimeamini hamisa bogus , Hana akili nzuri
Ndio maana nasemaga, hawa mastaa wetu , wakibahatika kupata umaarufu na madanga wajaribu kurudi shule kuji brush akili, hamisa ni mzuri na anajua kuvaa anapendeza kwa kweli , Ila kichwani zero brain , hapo tu ndo anapoaribu kujifananisha na zari. Sasa staa mkubwa unaenda kupost business class tena na passport , siku ukipanda Etihad au private jet naona utapiga mpaka matair ya ndege , yan nilikua nakuonaga classic Ila Leo umeniangusha kwa kweli
Ndio maana nasemaga, hawa mastaa wetu , wakibahatika kupata umaarufu na madanga wajaribu kurudi shule kuji brush akili, hamisa ni mzuri na anajua kuvaa anapendeza kwa kweli , Ila kichwani zero brain , hapo tu ndo anapoaribu kujifananisha na zari. Sasa staa mkubwa unaenda kupost business class tena na passport , siku ukipanda Etihad au private jet naona utapiga mpaka matair ya ndege , yan nilikua nakuonaga classic Ila Leo umeniangusha kwa kweli