warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #41
We bwana acha chuki zakooo...[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] wangapi wanaonyesha au kwa kua hamisaa...wabongo bwanaa...yani binamu ukimchukia mtuu utamnangaa...hebu punguza chuki basi na wewe jitahidi upande
Binamu if you are regular flight attendant you won't even do that , ni ushamba, unaanzaje kupiga picha passport jaman, tena kuonyesha umegongewa visa ya us🤣🤣
Si anasemaga yeye ni mke wa matajiri? , sasa mke wa matajiri unapata wapi muda wa kupiga picha visa jaman