Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Kwavile ww umejificha kwenye id feki .huenda huyo amisa nibora Mara 10 yaww.
 
Sheria za mitandaoni haziruhusu watoto wadogo kutolewa picha zao mitandaoni,unaweza kushtakiwa kwa kosa kama hili na sijui idhini umeipata wapi,uongozi wa JF walitakiwa kutoruhusu picha hii kuwekwa kwenye mtandao
Wee naye kama kitu hujui si ukae kimya tu sio lazima Kucoment
 
Ila anaweza zaa na single Maza zari mwenye watoto wa4 wakubwa tu

Achen ushamba

Badiliken

Nenden shule
Safirin nje ya nchi mpate exposure

Kalagjabaho
Mkuu majitu mengine hayana akili kabisa. yanamona zari wamaana .kisa anamagari kayaandika majinayake .
 
Aisee safi sana kwa hyo baada ya 2 years ulikuwa bado unamsubiria ajirudi?
 
Aisee safi sana kwa hyo baada ya 2 years ulikuwa bado unamsubiria ajirudi?
No wamekuja wazazi wake ,wakilia na kunipigia magoti

Niliwaonea aibu

Ila nimejiandaa kulipa kisas ,hatoamini
Sina papara,anayecheka mwisho ndo mshindi

Haitaisha miaka 2 story itajulikana

Lazima nilipe kisas
Saiv nimejidai mpumbavu tu

Hahaha,wakat utaongea
 

Afadhali nimejua mapema.
 
Duh hik kidada kinazaaga na matajir tu et

Ngoja na mimi tajir wa kanda ya ziwa nije nijitose aisee japo nimuzalishe mapacha
 
Ni kweli kwa uliyoyaongea ila hapo kwenye "kufanana mbaya" mhhhh mtoto hajafanana naye bwana,kafanana na mama yake serious
 
Hakuna cha kisasi wala risasi we kubari tu kuwa umekubariana na hali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…