Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Tetesi: Hamisa kanyang'anywa mtoto na Majizo!!

Ninachojua tu ni kwamba kwa Mwanaume / Mzazi mwenye akili, anayejitambua na mwenye maadili ya Kutukuka hawezi kukubali kuacha Mtoto wake alelewe na Hamisa Mobeto. Hamisa Mobeto ni Kielelezo tosha cha Mabinti / Wanawake hopeless wanaopatikana sana Kusini mwa Jangwa la Sahara ambao uwezo wao wa Kufikiri unaishia tu Kitandani, katika Dressing table na Bafuni.
Kwavile ww umejificha kwenye id feki .huenda huyo amisa nibora Mara 10 yaww.
 
Sheria za mitandaoni haziruhusu watoto wadogo kutolewa picha zao mitandaoni,unaweza kushtakiwa kwa kosa kama hili na sijui idhini umeipata wapi,uongozi wa JF walitakiwa kutoruhusu picha hii kuwekwa kwenye mtandao
Wee naye kama kitu hujui si ukae kimya tu sio lazima Kucoment
 
Ila anaweza zaa na single Maza zari mwenye watoto wa4 wakubwa tu

Achen ushamba

Badiliken

Nenden shule
Safirin nje ya nchi mpate exposure

Kalagjabaho
Mkuu majitu mengine hayana akili kabisa. yanamona zari wamaana .kisa anamagari kayaandika majinayake .
 
Yes

Ukipatwa ukazalishwa then mwanaume akacheat pambana na alokuzalisha(in this case domo)

Hamisa hajawahi kuwa kwenye so called committed relationship na marina,but domo?ryt ?

So apambane na domo

Ama wanataka kusema hamisa alimbaka domo?nope

Au alikuwa na mahusiano ya kimapenz na zari?nope

So give that girl a break

Yamenikuta haya personally,i know
Nilikomaa na baba wa mtoto wangu,nikampiga chini ilhal nampenda

Bt baada ya 2 years mwenyewe kajirud
Kamwe sikuwah pambana na mwanamke mwenzangu,kwan naye alitongozwa kama mm
Aisee safi sana kwa hyo baada ya 2 years ulikuwa bado unamsubiria ajirudi?
 
Aisee safi sana kwa hyo baada ya 2 years ulikuwa bado unamsubiria ajirudi?
No wamekuja wazazi wake ,wakilia na kunipigia magoti

Niliwaonea aibu

Ila nimejiandaa kulipa kisas ,hatoamini
Sina papara,anayecheka mwisho ndo mshindi

Haitaisha miaka 2 story itajulikana

Lazima nilipe kisas
Saiv nimejidai mpumbavu tu

Hahaha,wakat utaongea
 
No wamekuja wazazi wake ,wakilia na kunipigia magoti

Niliwaonea aibu

Ila nimejiandaa kulipa kisas ,hatoamini
Sina papara,anayecheka mwisho ndo mshindi

Haitaisha miaka 2 story itajulikana

Lazima nilipe kisas
Saiv nimejidai mpumbavu tu

Hahaha,wakat utaongea

Afadhali nimejua mapema.
 
Umeongea sahihi kabisa!
Tatizo wabongo wengi tuna nyoyo dhaifuu mnoo!chuki husda na roho mbaya mnoo
Wengi wanamchukia hamisa kwa kua kazaa na diamond
Hilo ndo tatizo wengi wamechukia kwa kua hawakutegemea kama atazaa na mbongo tena hamisa mobeto bad enough mondi kamkubali mtoto[emoji2] [emoji2] [emoji2] na wanafanana mbaya!!
Huyo zari matoto matatu ya mwanaume mwingine hawamwiti incubator!
Mama mtu mzima anajikojoza kwenye video hawalioni hilooi

Ptuuu watakufa na roho zao mbaya
Ni kweli kwa uliyoyaongea ila hapo kwenye "kufanana mbaya" mhhhh mtoto hajafanana naye bwana,kafanana na mama yake serious
 
No wamekuja wazazi wake ,wakilia na kunipigia magoti

Niliwaonea aibu

Ila nimejiandaa kulipa kisas ,hatoamini
Sina papara,anayecheka mwisho ndo mshindi

Haitaisha miaka 2 story itajulikana

Lazima nilipe kisas
Saiv nimejidai mpumbavu tu

Hahaha,wakat utaongea
Hakuna cha kisasi wala risasi we kubari tu kuwa umekubariana na hali
 
Back
Top Bottom