Hamisa Mobeto ana mchango gani kwenye sekta ya madini? Wizara ya Madini mjitafakari sana kuelekea TMIC2024

Huyu dem sijui watu wanadatishwa na nin kwake, sijawahi kumuelewa kabisa hata huo uzuri wanaomsifia siuoni...
N kwenye harakati za kutaka tu kuonja halafu si unajua hamisa tena kitandani lazima akutandike maswali utampa nn utamsaidiaje yani ni mlalamishiii

Sasa kama mwanaume na ushapewa na una wadhifa, mambo ndio kama haya sasa.
 
Mondi kapita na mademu maarufu wengi, na huyu ni mmoja wapo na kuzaa nae kabsa. Hujiuliz tu ana nini so special? 😅😅....pengine wana wanapeana feedback kuwa yuko vzr kwny 6*6
Mtaji wa Mwanamke asie na akili upo kitandani.

Wanawake washajua silaha ya kutukamata, na wanaitumia vizuri hiyo silaha "sio wazembe"
 
Sukari ya watu hiyo, it doesnt makd sense at all, tabu ya viongozi vijana ndio hiyo
 
Karibu sana Hamisa Mobeto...uje ung'arishe Usiku wa madini.
 
Hapo kuna mkubwa anakula hii kitu, nchi inaendeshwa na wajinga kila kona
 
Duh, kusema Hamisa atakuwepo maana yake ni nini? Ni mtu muhimu sana kwenye sekta ya madini, ni kiongozi kwenye sekta ya madini naona inachanganya kidogo.
 
Hamisa ni madini yanayotembea... Anatembea na mgodi binafsi ambao kila mwenye kibunda anatamani akachimbe

Kwahiyo kualikwa hapo anawakilisha kundi lote la wenye migodi binafisi (wadangaji) ya madini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…