Na kizazi cha mabinti wanaokuja wanakiharibu kishenzi! Kwa sababu wanaona ndiyo maisha haya!Tz umalay unalipaaaa
Mabinti naona watakimbilia fursaaaa hyooo
Ova
Wanatengeneza kizaz cha ovyoooNa kizazi cha mabinti wanaokuja wanakiharibu kishenzi! Kwa sababu wanaona ndiyo maisha haya!
Hawa malaya ilibidi wapigwe pini mpaka mitandao yao ya kijamii!
Sanaaaa!Wanatengeneza kizaz cha ovyooo
Ova
Ndio serikali ilivyo,hili halina tofauti na suala la Mama Kizimkazi kusafiri na wasanii bongo movie Korea Kusini.Ewaa! Ndiyo nilikuwa nakutafuta hivyo kwa wadau kama ninyi mnalionaje!
Hawa watu unajua wanafadhili biashara ya umalaya kwa wanawake pasipo kujua. Mabinti watauona umalaya unalipa kuuza nyau kwa wakubwa!
Hamisa anafanya mambo ya ajabu mengi na kazi yake haswa inafahamika. Halafu mwanamke huyu huyu wanampa mashavu makubwa kwenye jamii, hivi serikali huwa inawaza nini?! Mabinti wengine wataona umalaya unalipa na unapata mashavu mpaka serikalini. Hamisa si kama Kim Kardashian tu!
Halafu wadau wenyewe kama ninyi wanawaacha, aisee!
Huyu bi mkubwa kiukweli uwezo wake ni mdogo sana!Ndio serikali ilivyo,hili halina tofauti na suala la Mama Kizimkazi kusafiri na wasanii bongo movie Korea Kusini.
Siku zote huwa tunaenda kinyume nyume.
Kama ukoo wenu hauna vizuri masikitikoNimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)
Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM
Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!
Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.
Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?
Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.
Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.
Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.
View attachment 3155006
Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Kwa hiyo malaya wanajiamini sana kwenye hii nchi kuliko wasomi?Kwanza jiulize huyu DEMU WAKE NANI? utaelewa kwamba na yeye ni dini
Umesema vyemaUko sahihi sana
Kuna baadhi ya vitu sio sawa kwa kweli
Huyu dada kwa taswira ya kawaida ni kicheche tu mtaani anayelala na celebrities
Serikali isilee hii new trend
Kwa hiyo malaya wanajiamini sana kwenye hii nchi kuliko wasomi?
Kabisa mkuu
Mtu hajui hata ukwale ni nini?
Ngoja tuone
Tumeamua kuweka professionalism pembeni. Huyu anatafunwa na mkurugenzi mmojawapo na hilo shavu ndio fadhila ya kuliwa mbususu.
Inashangaza sanaHamisa atakuwepo😄
Kwamba Hamisa nae ni mwana apolo wa kule mererani?