Hamisa Mobeto ana mchango gani kwenye sekta ya madini? Wizara ya Madini mjitafakari sana kuelekea TMIC2024

Hii mbona hajajitangaza hilo tangazo liko moja kwa moja kwenye page ya wizara husika
 
Huvaa hereni ,ni madini hayo. Ni mdau wa madini KWA namna hiyo.

Wanauchumi wana chingereza chao wanaita final consumer.


Ila kiukweli amesaidia kuupa promo huo mkutano
Wee jamaa nina uhakika ni bright sana... Kiufupi we jamaa kichwani una kitu tena sio kidogo

Umejibu simple and clear
 
Kwa Wenyeji wa jiji hiyo wala sio story labda kama wewe mgeni wa juji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…