ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kwamba Hamisa ni kichaa hawezi kuelewa kitakacho zungumzwa hapo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bosi wewe hujaelewa, yaani hivi vitu hata wewe unaweza jiweka yaani iko hivi kukiwa na tukio siku hizi imekuwa mtindo mtu kujitangaza kwa kuambatanisha na tukio, mfano kama wakuu wa taasisi walipoalikwa Arusha kila mmoja alikuwa anajiandika nitakuwepo, hivyo usimshambulie HamisaNimeona Wizara ya Nishati na Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)
Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM
Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!
Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.
Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?
Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.
Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.
Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.
View attachment 3155006
Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Kumbe anaenda kama msikilizajiKwamba Hamisa ni kichaa hawezi kuelewa kitakacho zungumzwa hapo ?
Hata mimi limenishangaza sana.Nimeona Wizara ya Nishati na Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)
Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM
Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!
Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.
Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?
Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.
Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.
Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.
View attachment 3155006
Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
Kama Mtanzania mwenye haki zote za kuwepo hapo , bila kujali tabia zake binafsiKumbe anaenda kama msikilizaji
Basi sawaKama Mtanzania mwenye haki zote za kuwepo hapo , bila kujali tabia zake binafsi
Kila siku wana hudhuria hao wanao jiita wadau wa madini lakini hakuna cha maana , ngoja tuone binti Mobeto anaweza kuleta jambo jipyaBasi sawa
Anaenda kuburudisha macho na mioyo ya wadau wa madiniKila siku wana hudhuria hao wanao jiita wadau wa madini lakini hakuna cha maana , ngoja tuone binti Mobeto anaweza kuleta jambo jipya
Akili inaweza kuwakaa sawa tukaona sekta ikikua sasa , warembo ni muhimu sehemu waliopo wanaume rijali sio upindeAnaenda kuburudisha macho na mioyo ya wadau wa madini
Usisahau Fonka na uji wa shaba a.k.a maji ya operation. 😅Hata chabo au sesa na mganyalo anajua kweli?
Kama hujui hao wakina hamisa ndio madini yenyewe sasa..Nimeona Wizara ya Madini wameandaa mkutano wa TANZANIA MINING AND INVESTMENT CONFERENCE 2024 (TMIC2024)
Wameuita USIKU WA MADINI utakuwa 20th Nov 2024 Mlimani City Mall, DSM
Hamisa naye atakuwepo, nimeshangaa sana. Hivi kweli Wizara imekosa wachimbaji wakubwa wa kati na wadogo ili waje kutoa hamasa kwenye mkutano huo!
Kuna wanawake wengi tu wanafanya kazi kule migodini ambao walitakiwa kupewa kipaumbele.
Wapo wadada na akina mama wanaowekeza kwenye madini na wanayapambania mnakuja kubeba waigizaji?
Ajabu wametuletea Hamisa acha tuone hayo madini atakayotoa.
Na ikumbukwe huu ni mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini.
Nikiwa kama mdau wa hii sekta hili jambo limenishangaza sana.
View attachment 3155006
Hili taifa linaendeshwa kishikaji sana
NyotaHuko Buza kuna warembo wa kupepea wamenyooka huyo anatumwa chai tu labda tuseme hawakusoma au kizungu hawajui tu.
Alaa kumbe..!!🙂Kawekwa hapo labda kwa sababu ni mwanamke mrembo na mzuri kuliko wote tanzania
Mondi kapita na mademu maarufu wengi, na huyu ni mmoja wapo na kuzaa nae kabsa. Hujiuliz tu ana nini so special? 😅😅....pengine wana wanapeana feedback kuwa yuko vzr kwny 6*6Huyu dem sijui watu wanadatishwa na nin kwake, sijawahi kumuelewa kabisa hata huo uzuri wanaomsifia siuoni...