tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,061
Na zari alivyo yule atakomaa mpka kieleweke,ila mimi sidhani kama yule n mtoto wa daimond shilawadu hao wakina suddy ndio wanayakuza n wanatafuta sababu tu ili wapate cha kusema maan,na hamisa amewakomesha sana amekaa kiya na akae hivyohvyo anayetaka picha atoe pesa..baba mtoto sijui anajisikiaje kusikia mtoto anapewa baba jamoniiiiniondoke ili kitokee nini labda? akitaka azae alete hapo nyumbani nalea na shule nitafungua .. uwii tena zari aongeze manjonjo