Hamisa Mobeto: Nilidungwa mimba mara tatu na Diamond




Wanakosea sana !

Ni kukosa uadilifu wa kazi yao.
 
Umalaya Wa faida
Maana waswahili wanasema ukitaka kula nguruwe kula aliyenonaaa....

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wanaogopa wahudumu wa hotel wanavujisha habari Kwa Mange Ndo maana siku hizi wanaliwa huko majuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hata billnass hajalazimishwa mtoto
Ujue kwa alipofikia HAMISA Kwa Sasa amempuuza tu Mondi na hataki hizo drama
Hyo intavyuu ya miaka mingi kipindi hicho HAMISA nadhani Bado ana akili za kitoto na kishamba
Kwa Sasa HAMISA huyu sio yule wa kipindi kile kutukannwa na ukoo mzima na Bado anaenda kuliwa na Mondi
HAMISA wa Sasa amekaa kimya anawaona wote wapuuzi tu kuhusu DNA mwanzoni walipima walitaka wakapime Tena HAMISA amekataa na sio yeye hata Mimi km nna hakika mtoto ni wako ukisema DNA nakataa asee kama kumkataa mkatae wangapi wanekataliwa wamelelewa single mama na wanafanikiwa
Amechoka na drama za bi Sandra na wanawe,wale hawajitambui they are dying for fame ndo maana yule mama na mwanawe waliweza kwenda kwenye Radio wakasema diamond sio mtoto wa Mzee Abdul aliolewa na Mimba tu ila Mzee Abdul uliona hekima aliyotumia?na Ndo uzazi ulivyo brother...
Kwa Sasa Missa Yuko too far from dramas anafanya umalaya wake kimpango wake Ile familia Iko tayari Kwa lolote Ili tubaki wabaki juu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Daimond na mama Ake km waliweza kusema Abdul sio baba wa Nassib pale ndo niliwadharau Mimi so wako tayari Kwa lolote Ili wabaki midomoni mwa watu
Kwa Sasa HAMISA ameamua afanye mambo yake nje ya kiki za kina Mondi ndo maana wanamsingizia mambo kibao na Wala hawajibu amekaa kimya ndo wanapoumia hapo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Zilitoka au ALITOA
Alitoa HAMISA alizaa Baada ya kuambiwa na bi Sandra amzalie Mondi Ili amkomoe Zari maana walijua Zari ni tishio
Baada ya kuzaa tu wakaenda Aga Khan kutazama mtoto ndo bifu lilianzia hapo wakadai HAMISA kapeleka shilawadu kumchunguza bi Sandra wakati wao wenyewe ndo walipanga Kila kitu Ili Zari ajue,akasirike aachane na Mondi the rest nadhani wajua kilichotokea
Ukweli bi Sandra hataki mwanawe aoe anahofu kuhusu Mali tu kugawana na mwanamke

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ndio hamuhudumii sasa hivi na mtoto kishampeleka mpaka kwa Billnass,ila Billnass kamtuliza ndoa yake bado changa.

Halafu why HUTAKI KUMZUNGUMZIA BABA YAKE HALISI BILLNASS au kwakuwa Mondi ana hela.
Hujui kitu brother[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana punguza chuki na watoto wa kike
Maendeleo ya mwanamke yapo aina mbili auze uchi afanikiwe au kuolewa au apambane atoboe na kurithi
Yeye anauza ametoboa
Wewe komaa mwanaume

Acheni upotoshaji

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unamuamini Mpoki [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]pole sana
Eti bi Sandra kaandika huyu aliesema diamond sio mtoto wa Mzee Abdul baba Ake Mzee Salum Nyange
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Duh
Nadhani enzi anasoma Tandika alikukataa weye maana sio kumkomalia huko HAMISA wa watu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuwahi kumposti billnass
Maana Billnas na mtoto
Sio kweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…