Huyo aliyeleta hizo statement zipo wapi?Wewe jamaa mtu analeta reference statement ya mahakama na wewe unaleta reference sudy brown na mpoki!
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Haya niambie ww source yake.
Diamomd na Zari walioana lini?Mwanamitindo Hamisa Mobetto amefichua siri kuwa wakati Diamond akiwa na Zari walikuwa wanakutana na kwa siri na akafanikiwa kutundikwa mimba tatu na Diamond ambapo mbili zilitoka na moja wakafanikiwa kupata mtoto wa kiume Dylan.
Faida ya kujianika hivi ni nini?
====
Tanzanian model Hamisa Mobetto has sensationally claimed that Bongo star singer Diamond Platnumz wanted to have a child with her so desperately while married to Ugandan socialite Zari Hassan that he got her pregnant three times.
Mobetto however disclosed that they lost the initial two pregnancies before they got their son.
Diamond and Mobetto got a son, Dylan Nasseb, out of wedlock in August 2017.
At the time, the Cheche singer was in a relationship with Zari, who was then based in South Africa, and whom she had been cheating on with the beautiful model.
After the arrival of their baby, Mobetto and Diamond had a nasty fallout and at one point the outgoing model was forced to drag the singer to court for child support.
Recently, in a radio interview, she was asked if Diamond ever asked for a DNA test to ascertain if the boy was indeed his.
“Nadhani katika mtu mwenye uhakika zaidi kuhusu mtoto kuwa ni wake au sio wake ni Diamond, kwa sababu hata kabla sijapata mimba ya Dylan, nilishapata ujauzito wake mara tatu na bahati mbaya ukaharibika,” Hamisa responded to The Switch Team.
When reports emerged that Mobetto was expecting Diamond’s baby, the bongo flava star was quick to refute them in an attempt to save his marriage to Zari.
He eventually owned up that he indeed cheated on Zari and sired a child with Mobetto.
The singer even vowed he would do anything to salvage his four-year relationship with Zari before she Zari eventually dumped him on Valentine’s Day in 2018.
Mhhhh nyie mil 100,acheni masihala maisha madada zetu tuna yajua hebu ipe heshima mil 100.Kuwa na followers instagram milioni 10 kwa mwezi. Ni zaidi ya mtaji.
Mobetto kwa mwaka anatengeneza zaidi ya milioni mia moja kwa dili anazopata kupitia hao followers milioni 10
Wapuuzi Hawa Yaani pale alipo ategemee child support hivi Nini Sasa maana yakua brand ambassador wa kampuni kubwa kubwa?!Kwan hamisa anategemea child support? Mnajidanganyaaa
Wivu TU uanwasumbua Tena wivu wa kike wa mwanamke mwenye Mimba mlongoooHata kudanga pia hategemei.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji122]Kwani wee source yake ndo kudanga?? Alikudangia wee? Au mnadanga wote??
Yaweza isifike but at least 10m anafka brooo!!Mhhhh nyie mil 100,acheni masihala maisha madada zetu tuna yajua hebu ipe heshima mil 100.
Hata Mimi huwa nashangaa kwakweli hamisa kwa sasa yupo njema kiasi chake.Wapuuzi Hawa Yaani pale alipo ategemee child support hivi Nini Sasa maana yakua brand ambassador wa kampuni kubwa kubwa?!
Hata kama Hana akili Missa not to that extent bwanaaa...Kwa Sasa anajitambua Sema tu wanaume wa jf Baadhi Wana hasira na kuzungusha vibahasha na elimu zao ajira Hawana stress wanatolea Kwa watoto wa Watu!Acheni wadange K za kwako km rahisi na wao wakadange Kwa Mondi na majay
Nyinyi hebu acheni masihala bongo Movie hawa wana hali mbaya kidogo wema ana mkataba na DSTV unambeba,ila hizi acc hata wema mwenyewe hapati hiyo hela,bahati nzuri baadhi yao maisha yao tunayajua.Yaweza isifike but at least 10m anafka brooo!!
Mjadili namna alivyodungwaKwahiyo tuache kujadili mambo ya msingi, tijadili nyabe ya huyu bichi sio....[emoji41]
Uko sahihiNyinyi hebu acheni masihala bongo Movie hawa wana hali mbaya kidogo wema ana mkataba na DSTV unambeba,ila hizi acc hata wema mwenyewe hapati hiyo hela,bahati nzuri baadhi yao maisha yao tunayajua.
Kama hiyo 10m kupata angepata Wema,Wema ana followers wengi na mkataba wa mda mrefu na DSTV na bado kaenda kupanga Mbagala huko,husifanye masihala na 10m.
Nyie mil 10 per Month........... acha masihala kabisa.
Maisha ya wasanii 25% ndio ukweli 75% uongo mtupu.
Ni Hamisa ndiyo alienda mahakamani kuomba child supportWapuuzi Hawa Yaani pale alipo ategemee child support hivi Nini Sasa maana yakua brand ambassador wa kampuni kubwa kubwa?!
Hata kama Hana akili Missa not to that extent bwanaaa...Kwa Sasa anajitambua Sema tu wanaume wa jf Baadhi Wana hasira na kuzungusha vibahasha na elimu zao ajira Hawana stress wanatolea Kwa watoto wa Watu!Acheni wadange K za kwako km rahisi na wao wakadange Kwa Mondi na majay
[emoji38][emoji38][emoji38]Majizo alishamchukua Mtoto siku nyingiiii sasa hiyo child support ataitoa kwa misingi ipi?
Kuna wanaume wana misimamo anakwambia nipe Mtoto na usinipangie wa kwenda kuishi naye hata kama ni mama wa kambo ilimradi baba Nipo nitafuatilia hutaki baki na mtoto lakini hata mia sikupi.
Budget za kugawagawanl nani anazitaka?
Ndio alienda kipindi kile Sasa hivi kasema mtoto sio wake umeona HAMISA anamkohoa mondi?kampotezea TUNi Hamisa ndiyo alienda mahakamani kuomba child support
Unaweza kua sahihi ila unaweza usiwe sahihi pia wapo wasanii wapo njema Mmoja wapo aunty Ezekiel ingawa watu wanamuona mbwiga Fulani....Nyinyi hebu acheni masihala bongo Movie hawa wana hali mbaya kidogo wema ana mkataba na DSTV unambeba,ila hizi acc hata wema mwenyewe hapati hiyo hela,bahati nzuri baadhi yao maisha yao tunayajua.
Kama hiyo 10m kupata angepata Wema,Wema ana followers wengi na mkataba wa mda mrefu na DSTV na bado kaenda kupanga Mbagala huko,husifanye masihala na 10m.
Nyie mil 10 per Month........... acha masihala kabisa.
Maisha ya wasanii 25% ndio ukweli 75% uongo mtupu.
Nyinyi mnapendwa kudanganywa na hawa mabinti,sasa huyu Anti Ezakiel ana nini.Unaweza kua sahihi ila unaweza usiwe sahihi pia wapo wasanii wapo njema Mmoja wapo aunty Ezekiel ingawa watu wanamuona mbwiga Fulani....
Huyooo nna uhakika nae 100%kama anadanga anadanga Kwa akili hasaa...anajiweza kiuchumi!!
Kuhusu akaunti ni wewe utakavoitumia ndo itakulipa pia...ukijirahisi utatumika kirahisi ukijibrand pia utabrandiwa vzr
aunt si atakuwa ana wash hela za wale vijana walidakwa na sembe kg 30Unaweza kua sahihi ila unaweza usiwe sahihi pia wapo wasanii wapo njema Mmoja wapo aunty Ezekiel ingawa watu wanamuona mbwiga Fulani....
Huyooo nna uhakika nae 100%kama anadanga anadanga Kwa akili hasaa...anajiweza kiuchumi!!
Kuhusu akaunti ni wewe utakavoitumia ndo itakulipa pia...ukijirahisi utatumika kirahisi ukijibrand pia utabrandiwa vzr
Mirathi diamond hana mali zote ziko jina la mama yakeUpumbavu wake utaonekana kwenye mirathi.
Mobetto sio mjinga anajua anachokifanya.
Vita ya kujikomboa na umaskini inapiganwa kwa njia nyingi sana