Hamisa Mobeto: Nilidungwa mimba mara tatu na Diamond

Hamisa Mobeto: Nilidungwa mimba mara tatu na Diamond

Wewe jamaa mtu analeta reference statement ya mahakama na wewe unaleta reference sudy brown na mpoki!

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Huyo aliyeleta hizo statement zipo wapi?
Kwani Coverage ya Mimba ya Hamisa na Mondi ilifanywa na kina nani, maana kuanzia hospitalini mpaka huko mahakamani wakina Soudybrown walikuwa wanapost mpaka video.

Sasa ww ulitaka Reference zipi maana hizo zipo recorded.
 
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amefichua siri kuwa wakati Diamond akiwa na Zari walikuwa wanakutana na kwa siri na akafanikiwa kutundikwa mimba tatu na Diamond ambapo mbili zilitoka na moja wakafanikiwa kupata mtoto wa kiume Dylan.

Faida ya kujianika hivi ni nini?

====

Tanzanian model Hamisa Mobetto has sensationally claimed that Bongo star singer Diamond Platnumz wanted to have a child with her so desperately while married to Ugandan socialite Zari Hassan that he got her pregnant three times.

Mobetto however disclosed that they lost the initial two pregnancies before they got their son.

Diamond and Mobetto got a son, Dylan Nasseb, out of wedlock in August 2017.

At the time, the Cheche singer was in a relationship with Zari, who was then based in South Africa, and whom she had been cheating on with the beautiful model.

After the arrival of their baby, Mobetto and Diamond had a nasty fallout and at one point the outgoing model was forced to drag the singer to court for child support.

Recently, in a radio interview, she was asked if Diamond ever asked for a DNA test to ascertain if the boy was indeed his.

“Nadhani katika mtu mwenye uhakika zaidi kuhusu mtoto kuwa ni wake au sio wake ni Diamond, kwa sababu hata kabla sijapata mimba ya Dylan, nilishapata ujauzito wake mara tatu na bahati mbaya ukaharibika,” Hamisa responded to The Switch Team.

When reports emerged that Mobetto was expecting Diamond’s baby, the bongo flava star was quick to refute them in an attempt to save his marriage to Zari.

He eventually owned up that he indeed cheated on Zari and sired a child with Mobetto.

The singer even vowed he would do anything to salvage his four-year relationship with Zari before she Zari eventually dumped him on Valentine’s Day in 2018.
Diamomd na Zari walioana lini?
 
Kwan hamisa anategemea child support? Mnajidanganyaaa
Wapuuzi Hawa Yaani pale alipo ategemee child support hivi Nini Sasa maana yakua brand ambassador wa kampuni kubwa kubwa?!
Hata kama Hana akili Missa not to that extent bwanaaa...Kwa Sasa anajitambua Sema tu wanaume wa jf Baadhi Wana hasira na kuzungusha vibahasha na elimu zao ajira Hawana stress wanatolea Kwa watoto wa Watu!Acheni wadange K za kwako km rahisi na wao wakadange Kwa Mondi na majay
 
Wapuuzi Hawa Yaani pale alipo ategemee child support hivi Nini Sasa maana yakua brand ambassador wa kampuni kubwa kubwa?!
Hata kama Hana akili Missa not to that extent bwanaaa...Kwa Sasa anajitambua Sema tu wanaume wa jf Baadhi Wana hasira na kuzungusha vibahasha na elimu zao ajira Hawana stress wanatolea Kwa watoto wa Watu!Acheni wadange K za kwako km rahisi na wao wakadange Kwa Mondi na majay
Hata Mimi huwa nashangaa kwakweli hamisa kwa sasa yupo njema kiasi chake.
 
Yaweza isifike but at least 10m anafka brooo!!
Nyinyi hebu acheni masihala bongo Movie hawa wana hali mbaya kidogo wema ana mkataba na DSTV unambeba,ila hizi acc hata wema mwenyewe hapati hiyo hela,bahati nzuri baadhi yao maisha yao tunayajua.

Kama hiyo 10m kupata angepata Wema,Wema ana followers wengi na mkataba wa mda mrefu na DSTV na bado kaenda kupanga Mbagala huko,husifanye masihala na 10m.

Nyie mil 10 per Month........... acha masihala kabisa.

Maisha ya wasanii 25% ndio ukweli 75% uongo mtupu.
 
Kwahiyo tuache kujadili mambo ya msingi, tijadili nyabe ya huyu bichi sio....😎
 
Nyinyi hebu acheni masihala bongo Movie hawa wana hali mbaya kidogo wema ana mkataba na DSTV unambeba,ila hizi acc hata wema mwenyewe hapati hiyo hela,bahati nzuri baadhi yao maisha yao tunayajua.

Kama hiyo 10m kupata angepata Wema,Wema ana followers wengi na mkataba wa mda mrefu na DSTV na bado kaenda kupanga Mbagala huko,husifanye masihala na 10m.

Nyie mil 10 per Month........... acha masihala kabisa.

Maisha ya wasanii 25% ndio ukweli 75% uongo mtupu.
Uko sahihi
 
Wapuuzi Hawa Yaani pale alipo ategemee child support hivi Nini Sasa maana yakua brand ambassador wa kampuni kubwa kubwa?!
Hata kama Hana akili Missa not to that extent bwanaaa...Kwa Sasa anajitambua Sema tu wanaume wa jf Baadhi Wana hasira na kuzungusha vibahasha na elimu zao ajira Hawana stress wanatolea Kwa watoto wa Watu!Acheni wadange K za kwako km rahisi na wao wakadange Kwa Mondi na majay
Ni Hamisa ndiyo alienda mahakamani kuomba child support
 
Majizo alishamchukua Mtoto siku nyingiiii sasa hiyo child support ataitoa kwa misingi ipi?

Kuna wanaume wana misimamo anakwambia nipe Mtoto na usinipangie wa kwenda kuishi naye hata kama ni mama wa kambo ilimradi baba Nipo nitafuatilia hutaki baki na mtoto lakini hata mia sikupi.
Budget za kugawagawanl nani anazitaka?
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nyinyi hebu acheni masihala bongo Movie hawa wana hali mbaya kidogo wema ana mkataba na DSTV unambeba,ila hizi acc hata wema mwenyewe hapati hiyo hela,bahati nzuri baadhi yao maisha yao tunayajua.

Kama hiyo 10m kupata angepata Wema,Wema ana followers wengi na mkataba wa mda mrefu na DSTV na bado kaenda kupanga Mbagala huko,husifanye masihala na 10m.

Nyie mil 10 per Month........... acha masihala kabisa.

Maisha ya wasanii 25% ndio ukweli 75% uongo mtupu.
Unaweza kua sahihi ila unaweza usiwe sahihi pia wapo wasanii wapo njema Mmoja wapo aunty Ezekiel ingawa watu wanamuona mbwiga Fulani....
Huyooo nna uhakika nae 100%kama anadanga anadanga Kwa akili hasaa...anajiweza kiuchumi!!
Kuhusu akaunti ni wewe utakavoitumia ndo itakulipa pia...ukijirahisi utatumika kirahisi ukijibrand pia utabrandiwa vzr
 
Unaweza kua sahihi ila unaweza usiwe sahihi pia wapo wasanii wapo njema Mmoja wapo aunty Ezekiel ingawa watu wanamuona mbwiga Fulani....
Huyooo nna uhakika nae 100%kama anadanga anadanga Kwa akili hasaa...anajiweza kiuchumi!!
Kuhusu akaunti ni wewe utakavoitumia ndo itakulipa pia...ukijirahisi utatumika kirahisi ukijibrand pia utabrandiwa vzr
Nyinyi mnapendwa kudanganywa na hawa mabinti,sasa huyu Anti Ezakiel ana nini.

Hivi ushajiuliza kwa nini ugomvi wa bongo Movie wengi na hawa wadangaji wa insta huwaga ni wa kugombania wanaume (madanga) na kuna wengine wanafikia hatua ya kuto ongea kabisa.

Na bahati Mbaya 70% ya hawa wasanii wa bongo Movie wa kike hawana vipaji, ila uzuri,matako na mashape ndio siku hizi wana ya tizama madirector na si talent na siku hizi wengine wanaangalia nani ana trend social networks.

Hamisa alikuwa na duka la nguo za watoto sasa hivi lipo wapi,Uwoya na Aunt walikuwa na grocery zipo wapi sasa hivi, Wema alikuwa na mpaka na kampuni ya kutengeneza Movie akapanga mpaka nyumba Kinondoni kama ofisi ya kampuni yake sasa hivi yupo wapi, list ni ndefu.
 
Unaweza kua sahihi ila unaweza usiwe sahihi pia wapo wasanii wapo njema Mmoja wapo aunty Ezekiel ingawa watu wanamuona mbwiga Fulani....
Huyooo nna uhakika nae 100%kama anadanga anadanga Kwa akili hasaa...anajiweza kiuchumi!!
Kuhusu akaunti ni wewe utakavoitumia ndo itakulipa pia...ukijirahisi utatumika kirahisi ukijibrand pia utabrandiwa vzr
aunt si atakuwa ana wash hela za wale vijana walidakwa na sembe kg 30
 
Back
Top Bottom