Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
NdioKwaiyo wewe unapenda umkute mwenzio sio yeye akukute?
Mmekumisss!!!Hata mi G ningekuta ana mke ningekuwa tayari tu kuwa mke wa pili mnajua mapenzi nyie [emoji57]
Namsamehe tu,siwezi muacha nisharogwa na mengiUkimfumania mara mbili...mpaka tatu utamsamehe???
Mimi pia binam umenigayaaaMmekumisss!!!
Atakayemuelewa huyu naomba anitag[emoji56]Anatakiwa kusema wote wawili hawajielewi (bwana boro na bibie apo) wanataka nini maana bibie alivyokuja miss Mwanza alipata miscarage alitoka hosp siku iyo iyo akaenda kwenye shughuli,mimba ilikuwa ya bwana boro dinda hadi akawa anarusha vijembe snap kuwa anaombea iyo mimba apate mapacha,naona undertaker akafanya yake kitu kikachoropoka fasta..
Karma is a bitch mwacheni nae avune alichokipanda
Njaa tu, hamna lolote, smart dada hawezi kusaliti nafsi yake sababu ya pesa maana anauwezo wa kutafuta hizo pesa..!Hata mi G ningekuta ana mke ningekuwa tayari tu kuwa mke wa pili mnajua mapenzi nyie [emoji57]
Cha muhimu uhai baba parokoNjaa tu, hamna lolote, smart dada hawezi kusaliti nafsi yake sababu ya pesa maana anauwezo wa kutafuta hizo pesa..!
Kwa mdangaji uwezi kuona shida..
[emoji119][emoji122]Angekubali kipindi cha mbagala au kwa sasa anaitwa chibu dangote.... hhahha watu wana mambo sana.. wanapenda kuwa wake hata wa mia kisa pesa na sio kingine apambane na hali yake...
[emoji119][emoji122]... Niivi Macelebs hawa, yaan kushea na Zari mwanaume kwao ndio Big deal !![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila kumtaja zari kiki hazina mashiko pyeeeee
Amina..! Uzuri wa Rehema za Mungu ni kubwa kuliko dhambi zetu..Cha muhimu uhai baba paroko
Mambo mengi dear!!+Mimi pia binam umenigayaaa
Sawa binam karibuMambo mengi dear!!+
Wengine walimuongelea diamond mpk BBC [emoji3][emoji16][emoji23]jamani mbona vitu vya kawaida hvyo hata km humpendi mtu!!!sio kihvyo koko !!!Mwanamke akitaka kuwa mke wa pili au wa kumi na kula raha anazopata bila tamaa ya kuumiza mke halali.. huwa hawapigi picha na mwanaume kwa kuibia na kuishia kurusha mipicha kutaka kuvuruga walichopanga. Imekula kwake.. mondi hakuwahi kutaka kumuonyesha kwa umma kuwa wapo wote.. huyo binti akubali kuacha kumuongelea kama kweli anataka career ya muziki.. nafikiria akija kuimba mwakani je bafo ataongelea hayo ya mondi hivi au vile. Kashaharibu ajipange kufanya yake bila kumtaja huyo baba mtoto wake aliemuita side woman.. wa side kamwe hawezi kuchukuliwa kama mke mdogo na kusemwa wazi.. alikuwa kwenye tamaa ya pesa na aelewe na kuishi kivyake sasa kitu anajua hawezi ndio maana kila sekunde mondi mondi mondi huku mwanaume hakuwahi kumchukulia hata kama yeye ni mke..
Hivi nani wengine wasanii wa ukweli wanapenda career zao na kujituma bila kutegemea kutaja wanaume wasio wataka bali waliwataka kumwaga tu kwa sababu walikuwepo na udespo.. tuandikieni tuwajue basi.. huyu apite tu.. sie tunaomuamini Mungu tukisia ya kuganga basi tena kizaidi na kutaka kujua..