Hamisa Mobeto nilikubali kuwa mke wa pili wa Diamond

Anaelekea kwenye muziki gani!!!!?
Hivi hamisa anaimba kwaya!!!!?au nyimbo za mapambio!? Eti muziki pyeeeeee kuimba kipaji ...mi nikisikilizaga kale kawimbo kake huwa namfananisha na wale watoto wanaoimba TBC taifa kipindi cha watoto na nyimbo...
 
Hivi namm mahawara zangu wakipata nafac ya kuhojiwa redioni wataniongelea hivi?!
 
Washauri wake ndo wanamwambia azidi kuongea ili asisahaulike

Mwenzenu anaisalandia show ya america bwahahahahhaha
Tatizo anaongea visivyo na maana hapo anasema ataolewa mke wa pili kwani Zari kafunga ndoa na huyo Diamond? Anaonekana kituko abaki kimya
 
Unaaaafiki wa kiwango cha treni za umeme na barabara zake...humu ndo umejaa...

Wengine humu nyumba ndogo tena michepuko...tu!!hasira zao wanamalizia kwa hamisa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]!!!

Jamani wengine waislamu dini yaruhusu!!!
Kwenye kuolewa mke wa pili haina shidaaa waislamu imehalalishwa hiyo ni sunna ....me mwenyew naolewa mke wa pili soon[emoji126] [emoji126]
 
ila haibadili ukweli kwamba she z not of that class no matter what....sijamdharau but naongelea ukweli...otherwise best of lucky to her!!
What do u mean by class...which class r u talking about?

Hebu nambie hapa bongo wadada wa bongo muvie yupo class...?may be..

Endelea kumdharau yeye sio wa kwanza wala hatakua wa mwishi diamond mwenyewe alianzia huko Leo watu saluteee...

Magufuli alishawahi jibiwa siongei na mbwa enzi za waziri Leo ni rais...haijalishi vipi...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi simchukii bibi yenu jamani uzee ule ntapata radhi!!!

Ukweli ni kua daimond hajawahai kuoa na wala hajaoa
Zari na wengine wote walikua wanaziniwa hadharaaaaanii...anashikwa mbele za hadhara..anaziniwa hadharaniii.....!!

Hakua ameolewa wala kuchumbiwa alikua anadhihirisha zinaaaa!!!
 
Kwenye kuolewa mke wa pili haina shidaaa waislamu imehalalishwa hiyo ni sunna ....me mwenyew naolewa mke wa pili soon[emoji126] [emoji126]
Utaitwa nyaku nyaku bibie huogopii...!!![emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kuitwa nyaku nyaku!!!
 
Yeah dj sepetu alijua kuchimbua mambo[emoji23][emoji23][emoji23]mtu akafunguka akidhan atapata sympathy ila kajikuta kajianika kwa numby nikamchana laivu hadi wa leo kaufyata,kutwa kumtaja zari zari maskin hadi huruma na kikoti chake cha jeans[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa sasa team pugi wangedili na mzigo wao wamuache zari maana kama bwana alishawaachia wakashindwa mkamata watakavyo
 
Hebu tushangae,maana kila siku zinatumika nguvu kubwa kusema zari hakuolewa, leo chuchunge kayakoroga ila misukule inachekelea kama sio yenyewe inayosimamisha mishipa kusema zari hakuolewa mara pugi alikua kwenye mahusiano kwa miaka kumi iweje awe mke wa pili na sio wa kwanza
Tatizo anaongea visivyo na maana hapo anasema ataolewa mke wa pili kwani Zari kafunga ndoa na huyo Diamond? Anaonekana kituko abaki kimya
 
[emoji23][emoji23][emoji23] si mbaya maana bwana utakua umempatia ukubwani sio nanilii kung'ang'ania mahusiano ya miaka kumi kisha kuja kusema alihaidiwa mke wa pili oohoo mamie ntakugayaaaa nafasi ya kwanza utaiachiaje shosti!!
Kwenye kuolewa mke wa pili haina shidaaa waislamu imehalalishwa hiyo ni sunna ....me mwenyew naolewa mke wa pili soon[emoji126] [emoji126]
 
Me Nadhani tatizo ni uelewa hata Kama Zari hakuolewa lakini sindo alikuwa main chick [emoji848]

Yaani mtu kumweka main chick na side chick kundi moja Kama Sio kujitoa ufahamu! Pussy is so good [emoji4] kutafuta ndoa kwa sangoma! Na misukule yake Etii wanamuita role mode sijui hero wao teh teh
Bora huyu mama 2 atulie tuu maana anajichafua kujieleza yenyewe 0
 
Mdomo wangu umebaki wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...unaambiwa kuna watu vichwa vyao ni Vigumu kuelewa lkn ni vyepesi sana kusahau .

Ndo hivi vichwa vya akina Hamisa mobeto na marafiki zake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mujini sihami ,wasahaulifu wanatupa ubuyu kilaini kwa usahaulifu wao
Mdomo wangu umebaki wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...unaambiwa kuna watu vichwa vyao ni Vigumu kuelewa lkn ni vyepesi sana kusahau .

Ndo hivi vichwa vya akina Hamisa mobeto na marafiki zake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…