Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kumaintain Brand muhimu.Weee kutomber sio hobby yako 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumaintain Brand muhimu.Weee kutomber sio hobby yako 🤣🤣🤣🤣
Wanaume ni mbwa
Sana 🙆🏻♀️Nikimuwaza yule dada aliyezaa nae 😭😭
Kumbuka huyu ni binti wa uswazi. Wale hawafigiki kama kunguruHuyu binti ni mzuri ila kuna sehem anakwama au karogwa na wafuga fisi si bure
Mdada ni Mtanzania na yupo Tz.Lawama ziende kwa huyo dada ,utamuachaje mmeo awe TZ peke yake na yeye akiwa burkina faso? Fimbo ya Mbali haiui nyoka ,hata na yeye usikute watu wanapiga huko kwao.
Mobeto kuolewa sio kipaumbele chake! Tukiwaambia wanawake wengine hawataki ndoa msiwe mnabisha!Kumbuka huyu ni binti wa uswazi. Wale hawafigiki kama kunguru
IsMwigizaji, Hamisa Mobetto, amtambulisha mpenzi wake Stephane Aziz Ki, mchezaji wa soka wa klabu ya Yanga SC. Mobetto ameachia picha na video akiwa pamoja na MVP wa Ligi ya NBC msimu wa 2023/24 wakiwa pamoja wakila maisha.
Soma:
Kama yupo TZ basi kuna pahali alishindwa kutimiza majukumu yake vizuri...Huyo dada kungwi wake apigwe viboko hajamfunza vizuri.Mdada ni Mtanzania na yupo Tz.
Huna haya..!Kama yupo TZ basi kuna pahali alishindwa kutimiza majukumu yake vizuri...Huyo dada kungwi wake apigwe viboko hajamfunza vizuri.
Huna haya..!
Unanitia hasira tu.Mme anataka kula vizuri na Kwichikwichi tu kutoka kwa mkewe kama angeweza kumdhibiti hapo huyo Mobeto asingem-WIN hata kidogo.
Hata akibadiri uraia?Sheria za FIFA haziruhusu mchezaji mmoja kuchezea timu za taifa za wakubwa mbili tofauti.
Angekuwa Bukinafaso kachezea timu za vijana angebadili uraia angeruhusiwa kuchezea timu ya Tanzania ya wakubwa.
NdiyoHata akibadiri uraia?
Ni ndani ya msimu mmoja au forever? Kwamba akiwahi kuchezea Uganda mfano, lakini akaja kuwa raia wa Tanzania. Hawezi forever kuruhusiwa kuchezea Tanzania?😕Ndiyo
Kumekucha kumekucha...
Amkeni tusali
ForeverNi ndani ya msimu mmoja au forever? Kwamba akiwahi kuchezea Uganda mfano, lakini akaja kuwa raia wa Tanzania. Hawezi forever kuruhusiwa kuchezea Tanzania?😕
Daah, hii sasa mbona kama sheria kandamizi. Ina maana kazi yote ya Hamisa haina faida tarajiwa kwa Mama Tanzania? 😡Forever
Kweli kabisa hii kuomba omba kuna baadhi ya ke ipo kwenye damuMwanamke hata awe ba 10b bado atafata mil100 yako
Ni mtanzania mwenzetuLawama ziende kwa huyo dada ,utamuachaje mmeo awe TZ peke yake na yeye akiwa burkina faso? Fimbo ya Mbali haiui nyoka ,hata na yeye usikute watu wanapiga huko kwao.