Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi Mzembe sana mwache aporwe ,mimi nilijua ni Mbukinafaso yupo mbali.Ni mtanzania mwenzetu
Aisee hatari sana yaani kashakuwa na watu wa aina lukuki ila wote wanakula kona. Mungu ampe jicho la kumuona na kumkubali mumewe atulie wazeeshane.Kumbuka huyu ni binti wa uswazi. Wale hawafigiki kama kunguru
Baba yako nae ni mwanaume?Wanaume ni mbwa
Yamekukumba yepi ? 😀 😀 😀Wanaume ni mbwa
Hahahaaa. Kazi wanayo hao wake zao. TehWasiwe na wapenzi tena....hawa wana wanawake kila sehemu....huko mkoani wakienda kucheza ni full kugegeda ata kama wana wake zao.
Tena nasikia wakirudi home wake zao wanawalazimisha bao la kwanza wamwagie nje mke apime uzito wa bao....kama jepesi basi kimeumana🤣🤣🤣🤣
Nawatakia wapi hao Mzab. 😂 Sijawahi kuwa interested na hao watu.Wee hujapata bahati ya kuoe dwa na mchezaji wa yanga....alooh wanahonga hao na ni very very gud in bed
Hayajanikuta yoyote dada! Kwani hujui huo msemo?Yamekukumba yepi ? 😀 😀 😀
Baba yako anabweka mara ngapi kwa sikuWanaume ni mbwa
Hapo sawa..Hayajanikuta yoyote dada! Kwani hujui huo msemo?
Idadi anayobweka baba yako.Baba yako anabweka mara ngapi kwa siku
Kwema! Sijambo kabisa.Hapo sawa..
Kwema lakini? Haujambo ki ujumla?
Hamisa anajua kunusa pesa ilipo. Hana muda na masela wanuka vikwapaMilioni 70 kwa mwez sio mchezo acheni ajidogose hamisa
Kwani huyo binti anafanya shughuli gani za kumuingizia kipato?Kati ya Huyo binti na Aziz K nani anapesa zaidi?
Maskini Aziz Ki.. Lakini sio mbaya kwakuwa haina makombo na haisomi kilometersMwigizaji, Hamisa Mobetto, amtambulisha mpenzi wake Stephane Aziz Ki, mchezaji wa soka wa klabu ya Yanga SC. Mobetto ameachia picha na video akiwa pamoja na MVP wa Ligi ya NBC msimu wa 2023/24 wakiwa pamoja wakila maisha.
Soma:
Mhmm kwanini tuwe mbwa?Wanaume ni mbwa