Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga

Waafrika bwana usikute career yake ikaishia hivyo kwanza kiwango tayari kishashuka. Ajifunze kwa Bernard Morrison au nick misq
 
Hahahaaa. Kazi wanayo hao wake zao. Teh
Wee hujapata bahati ya kuoe dwa na mchezaji wa yanga....alooh wanahonga hao na ni very very gud in bed
Nawatakia wapi hao Mzab. πŸ˜‚ Sijawahi kuwa interested na hao watu.

Kwangu watuchezee mpira tu mi nifurahi.
 
Maskini Aziz Ki.. Lakini sio mbaya kwakuwa haina makombo na haisomi kilometers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…