Hamisa Mobetto ana roho ngumu sana

Mbona hapa kawa model kabisa
 
Vibonge wa bongo wana matiti makubwa kama ya chifu H
 
Mobeto na ujinga wake anakuja kutueleza eti Rick anataka kuja kuwekeza tz,Rossee n wakuwekeza tz kwel au anakuja kuzitafuna zaid mbususu

Kwanza haitatokea siku aje huku
 
Katika swala la Hamisa na Rick....kinachonishangaza ni wanaume kukasirika, kwani kinachowafanya kukasirika ni nini????
 
Hayanaga muongozo...

Mambo yake muachieni mwenyewe...
 
We nae kumbe fala sana kuna nyimbo ya marehem Mangwair inaitwa bado hujawajuwa mademu.Bro hukuona hata ile movie inaitwa king kong demu anampenda yule mdudu hadi akatoroka kumfata. Mkuu mji huu una wenyew wa bush rudi shamba.
Huwajui mademu ni wimbo wa Mwiju ft Q Jay
 
Teh teh teh...

Unaambiwa wanaume ndo wameona wivu mobeto kuliwa na rosey
Nimeshangaa sana, yaani mwanaume anachukua majukumu ya kike kumjudge mwanaume mwenzake kimaumbile wakati wanawake wamekaa kimya. Sometimes wanaume tunakuwa wapuuzi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…