Mbona hapa kawa model kabisaKama mnavyo iona picha ya Rosiee hivi Mobeto amewezaje kumuweka kifuani huyo mwamba? Mobeto utakuja kufa ww yaani unabeba magunia manne ya mahindi? Wape mabinti wenzako mbinu za kubeba magunia manne [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2027377
Pengine hata topeKwa hiyo huyo mwamba ndio anampiga miti kimasihara Mabebo?
Vibonge wa bongo wana matiti makubwa kama ya chifu HUmbile la mtu lisimnyime starehe jamaniiii
Mbona huyu Rick hawafikii wa kwetu humu mitaani!? Au shida ni mobetto?..... msimnyanyapae shemela buana😂😂😂😂😂😂
Ulishamuona pitamsechu au bongekatagira wakiwa vifua wazi!?
Teh teh teh...Kumuwaza mwanaume mwenzako mpaka kumpost ni tabia za kike. Badili tabia mkuu.
Nadhan jamaa kapungua now hzo picha mnazopost ni za kitambo
Yaan inashangazaKatika swala la hamisa na rick....kinachonishangaza ni wanaume kukasirika, kwani kinachowafanya kukasirika ni nini????
Huwajui mademu ni wimbo wa Mwiju ft Q JayWe nae kumbe fala sana kuna nyimbo ya marehem Mangwair inaitwa bado hujawajuwa mademu.Bro hukuona hata ile movie inaitwa king kong demu anampenda yule mdudu hadi akatoroka kumfata. Mkuu mji huu una wenyew wa bush rudi shamba.
..duh mwacheni misa adange Bana...tako si lake! ...anaechukia nae akampe tako mwamba Ross...by the way...anaebebwa wakati wa gemu ni missa...yeye Kazi yake kukatika Tu ...na kumpa jamaa tako kimasihara..duh .Ila jamaa limepungua! Walikata utumbo Mwamba nini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute mleta mada ni ni jinsia ME...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan inashangaza
Kila ukizunguka ukikutana na hbr hizi utaona ni me inapanick
Ela bana huwa zinapotea sana njia,hili gunia lilitakiwa liwe mwakaleli huko linalima viaziJamaa mbona yuko vizuri tu mimi naona hakuna tatizo kiukweli mwekezaji kama mwekezaji lazima aheshimiwe
View attachment 2027655
Nimeshangaa sana, yaani mwanaume anachukua majukumu ya kike kumjudge mwanaume mwenzake kimaumbile wakati wanawake wamekaa kimya. Sometimes wanaume tunakuwa wapuuzi sana.Teh teh teh...
Unaambiwa wanaume ndo wameona wivu mobeto kuliwa na rosey