Hamisa Mobetto ana roho ngumu sana

Hamisa Mobetto ana roho ngumu sana

EGlzXksX0AAuYpe.jpg
images.jpeg
Journey-of-Rapper-Rick-Ross-Weight-Loss.jpg
 
Umbile la mtu lisimnyime starehe jamaniiii
Mbona huyu Rick hawafikii wa kwetu humu mitaani!? Au shida ni mobetto?..... msimnyanyapae shemela buana😂😂😂😂😂😂

Ulishamuona pitamsechu au bongekatagira wakiwa vifua wazi!?
Vibonge wa bongo wana matiti makubwa kama ya chifu H
 
Mobeto na ujinga wake anakuja kutueleza eti Rick anataka kuja kuwekeza tz,Rossee n wakuwekeza tz kwel au anakuja kuzitafuna zaid mbususu

Kwanza haitatokea siku aje huku
 
We nae kumbe fala sana kuna nyimbo ya marehem Mangwair inaitwa bado hujawajuwa mademu.Bro hukuona hata ile movie inaitwa king kong demu anampenda yule mdudu hadi akatoroka kumfata. Mkuu mji huu una wenyew wa bush rudi shamba.
Huwajui mademu ni wimbo wa Mwiju ft Q Jay
 
Back
Top Bottom