Hamisa Mobetto anafanya kazi gani inayompa umaarufu mkubwa nchini?

Hamisa Mobetto anafanya kazi gani inayompa umaarufu mkubwa nchini?

Nikiri tu huyu sijui ni dada au mama anayeitwa Hamisa Mobetto nimemsikia muda mrefu sana ila sijawahi kujua anafanya shughuli/kazi hasa iliyompatia umaarufu mkubwa hivyo.

Kadanga na watu wenye fedha, yaani K yake imetembea mileage kubwa sana
 
Kuna dada mmoja yupo PwC, ni nyumba ndogo ya bilionea mmoja wa kihindi hapa Dar, ni mpangaji wangu wa apartments Changanyieni huko, huwezi muona na ujinga wa kujitapa kuwa anatoka na mabilionea.
Nikichogundua ni kuwa mwanamke kilaza ni mzigo kwa mwili wake na maisha yake.
 
Screenshot_20250216-121443.png
 
Nikiri tu huyu sijui ni dada au mama anayeitwa Hamisa Mobetto nimemsikia muda mrefu sana ila sijawahi kujua anafanya shughuli/kazi hasa iliyompatia umaarufu mkubwa hivyo.
Video vixen ambaye amechange na kuwa prostitute wa viwango vya juu kibongobongo mkuu, From Diamond to Majizzo to Rick rozee to Aziz K and the list goes on, by the way Diamond ndiye aliyempa huyu binti umaarufu.
 
Muimbaji mziki, muigizaji, mwanamitindo, balozi.
Wimbo wake mmoja maarufu ni upi? Filamu za bongo sifuatilli labda nikiwa nasafiri kwenye bus, pia fashion za bongo sizijui sana huenda labda kweli ni maarufu sekta hizo na nimepitwa japo nawafahamu wadau kadhaa wa zamani sekta hizo kama Ray, JB, Uwoya, Sheria Ngowi n.k
 
Katembea na mastaa wakubwa nchini akiwemo diamond platnumz ndo maana amekuwa maarufu alafu pia alikuwa video vixen
Nikiri tu huyu sijui ni dada au mama anayeitwa Hamisa Mobetto nimemsikia muda mrefu sana ila sijawahi kujua anafanya shughuli/kazi hasa iliyompatia umaarufu mkubwa hivyo.
 
Wanaume ndo mpo buzy kujadili maisha ya mwanamke ambaye hakuna anayemfikia awe Malaya awe anetembea na Dunia nzima uzur hajaiba au kumdhuru mtu anapata pesa zake
Vip dad zenu mnajua wanalala na machoka mbaya wangap hata uwezo wa kununua sim mpya hawana Bora hamisa anatoka na wanaume wanaomnunulia range 😀😀😀 achen makasiriko
 
Back
Top Bottom