Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
HeheheKurusha tako tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheKurusha tako tu
Mbona hajabahatika mwingine kaonwa yeye?Kurusha tako tu
Sasa unauliza mobeto? Wengine mbona uulizi? Wema sepetu? Wao wanatobo wanalitumia vizuri! Wanalifanyia promo na kubet! Mwenye dau kubwa analitumia maisha yanaendaNikiri tu huyu sijui ni dada au mama anayeitwa Hamisa Mobetto nimemsikia muda mrefu sana ila sijawahi kujua anafanya shughuli/kazi hasa iliyompatia umaarufu mkubwa hivyo.
Sawa mkuu, video vixen ninayemfahamu bongo ni Angel Nyigu😁Salome ya Diamond Platnumz na Dodo ya Ali Kiba kama video vixen.
Sensema ft Whozu,ameshirikishwa na Christian Bella kwenye Boss,kashirikiana na Seneta Kiraka kwenye Ex wangu pia,kafanya kazi na msanii wa Nigeria aitwae Singah
Yule mtt na mama yake ni waswahili vby mnoo lzm mti mti umehusika hawafanyagi jambo kiboya boyaMbona hajabahatika mwingine kaonwa yeye?
Msanii / Celebrity...Nikiri tu huyu sijui ni dada au mama anayeitwa Hamisa Mobetto nimemsikia muda mrefu sana ila sijawahi kujua anafanya shughuli/kazi hasa iliyompatia umaarufu mkubwa hivyo.
Balozi wa kampuni kadhaa
Ninavyojua mimi Angel Nyigu sio video vixen ni dancerSawa mkuu, video vixen ninayemfahamu bongo ni Angel Nyigu😁
Ni mdada alizaa mara mbili na wanaume tofauti na bado amepata kijana wa kumuoaNikiri tu huyu sijui ni dada au mama anayeitwa Hamisa Mobetto nimemsikia muda mrefu sana ila sijawahi kujua anafanya shughuli/kazi hasa iliyompatia umaarufu mkubwa hivyo.
Umeona lile limsambwandaaaWachangiaji wengi wana wivu nae, ni kasumba ya wanaume kumsema vibaya demu asie wa ligi yake "sizitaki mbichi hizi"
Kile chuma acha kabisa mkuu, Aziz anakojoa pazuri.
Ni malaya wa viwango vya juu. Mfano Kim Kardashian na Amber Rose pale Marekani. Huyu Mobeto nina uhakika hata watoto wake hawajui mama anafanya kazi gani kujikimu na maishaNikiri tu huyu sijui ni dada au mama anayeitwa Hamisa Mobetto nimemsikia muda mrefu sana ila sijawahi kujua anafanya shughuli/kazi hasa iliyompatia umaarufu mkubwa hivyo.
Wema Sepetu nilimjuaga enzi naangalia bongo movies, pia kuna wakati inadaiwa alikula pesa za Idris Sultan mamilioni alizotoka nazo Big Brother Africa, kuna wakati nilisikia alikatwa utumbo ili apungue unene, kuna wakati alikuwa maarufu pia katika siasa za nchi.Sasa unauliza mobeto? Wengine mbona uulizi? Wema sepetu? Wao wanatobo wanalitumia vizuri! Wanalifanyia promo na kubet! Mwenye dau kubwa analitumia maisha yanaenda
Afu kimekaa vizuri kweli kama na mhogo unao😋
Mkuu hii ndio inaitwaga pango la wanyanga'anyi?
Nafikiri pia wanawake wazuri maarufu kama yeye bongo ni wachache sana.Ni mdada mzuri kwa sura na umbo, ana nyota ya kutembea na wanaume wenye pesa hivyo ni rahisi kuwa famous. Leo yupo na Ki, huwezi jua baada ya hapo atakuwa na nani. Sio wanawake wote wenye "bahati" ya namna hiyo, kitendo cha kuzalishwa mara mbili na wanaume wawili tofauti kingem-diskwolifai ila nyota yake inang'aa.