Atapokelewa kwa vigegere,atapewa flu kabisaAkimaliza kutuwakilisha huko tumpokee uwanja wa ndege kishujaa,
Na kama ikiwapendeza basi apate wilaya moja wapo Kwa kuanzia.
Ila ka mobeto kana tabia mbaya kama ni kweli teh, huyo lira walikua wakichati kwenye insta pages baby I can't wait to see you kipindi kile misa akaenda hadi kwa mange....Mara vup yupo na Rick .[emoji16][emoji3][emoji3]kumbe je!hainaga ushemeji hyooo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ni kweli wanadate au kiki za ile pombe sijui inaitwa bagaile au nini ππππAchen aonje za maana japo robert malaya kama nini
BeleaaaNi kweli wanadate au kiki za ile pombe sijui inaitwa bagaile au nini ππππ
Hamisa alikua na urafiki na ex wa huyo H baba wa mbelezz Lira Galore, ameamua kujimilikisha?
Yupo vizuri.....
Umeliwa nauli????Huyu sasa ni international apewe ulinzi na kipindi pale UDSM awafundishe kina dada zetu maana wao akili zao zimeishia kwenye tuma nauli na ya kutolea shwiiiine ili wabadilike.
Shit yah 4 years ago πUmeliwa nauli????
Ila swala la kuliwa nauli wanaume ni tatizo la kitaifa....mi sijui nimekwama wapi sijawahi kula nauli ya mtu.Shit yah 4 years ago π