The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
😀😀Hamisa alikua na urafiki na ex wa huyo H baba wa mbelezz Lira Galore, ameamua kujimilikisha?
H baba wa mbelezz kwa madevu sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Hamisa alikua na urafiki na ex wa huyo H baba wa mbelezz Lira Galore, ameamua kujimilikisha?
Halua haina makombo mkuu.Kwa hiyo Rick Ross anataka akale makombo ya Diamond?
Yaani mpaka hili nalo la umalaya ni la kumshirikisha Mungu.Hongera mabeto, tunamshuru Rick, kumpaisha mtz mwenzetu, uliteseka kunyaliwa Ila juhudi zako mungu kaziona na kasimama nawe, waliokunyali wanadamu Ila mungu ni wa huruma dhidi yako.
Hivi mwili wake ilikuaje ni surgery?😀😀
H baba wa mbelezz kwa madevu sio?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wanajivunia umalaya.. na hawa ngwengwe hawapati.. iga ufe
Ngoja waje fan zake watuhabarishe.Hivi mwili wake ilikuaje ni surgery?
Alikuaga kama simtank ya lita 1000
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shujaaaa
Anaiwakilisha na kuitangaza nchi
Huyu ni mzalendo kwerikweri
Ova
Kiuchumi yupo vizurMtu unaona sifa kutoka na rick ross??? Mh .. bora vaness aliyevishwa uchumba aseme! Huyu rick ross mwenye baby mamas na kesi za wanawake kila kona.. cheap as heck
Ana utajili wa $40millionMtu unaona sifa kutoka na rick ross??? Mh .. bora vaness aliyevishwa uchumba aseme! Huyu rick ross mwenye baby mamas na kesi za wanawake kila kona.. cheap as heck
Alikata wese kwa tiziHivi mwili wake ilikuaje ni surgery?
Alikuaga kama simtank ya lita 1000
Kioo cha jamii huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duuh.... bora yakeAlikata wese kwa tizi
Me meamua tu kukubali yaisheDuuh.... bora yake
Mi napiga piga vitizi mbuzi sioni hata results 😔
Hao watu wanadanganya ni tizi lakini na surgery pamoja na madawa huwezi kuwa mnene hivyo ukajikondesha na ngozi isiwe na makunyanzi kama mzee. NeverMe meamua tu kukubali yaishe
Just watching what I eat bas
Ila kahaba alimfuta yesu miguu kwa nywele zake na alimuosha miguu kwa machoz, na alimpaka manukato, na akasamehewa dhambi zake.Yaani mpaka hili nalo la umalaya ni la kumshirikisha Mungu.
Ila kahaba alimfuta yesu miguu kwa nywele zake na alimuosha miguu kwa machoz, na alimpaka manukato, na akasamehewa dhambi zake.