Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Na mwaka huu usipite bila utabiri wako kutimia.Hadi nakuhisi we ndio waziri wa fedha, hapa ulianza kwa kupima upepo 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwaka huu usipite bila utabiri wako kutimia.Hadi nakuhisi we ndio waziri wa fedha, hapa ulianza kwa kupima upepo 😁
Hongera Mabeto, tunamshuru Rick, kumpaisha mtz mwenzetu, uliteseka kunyaliwa Ila juhudi zako mungu kaziona na kasimama nawe, waliokunyali wanadamu Ila mungu ni wa huruma dhidi yako.
Mungu yupo kila upande.Too pathetic
Upuuzi unamuhusisha hadi Mungu
Embu jishtukie kijana
Ndiyo umejua leo?Mmmh !!! Ila mimi nawapeni siri nyinyi mademu wa kiafrica ni wazuri hasa apa bongo waxungu hamna kitu
Mhamasishaji wa kodi uyu.Akimaliza kutuwakilisha huko tumpokee uwanja wa ndege kishujaa,
Na kama ikiwapendeza basi apate wilaya moja wapo Kwa kuanzia.
Hivi unajua maana ya Billionaire????huyu Rick Ross Hana hata $50m😂😂😂😂Watanzania wote wako proud baada ya mrembo hamisa mobetto kupostiwa na page mashuhuri ya udaku marekani TheShadeRoom. Mrembo huyo amepostiwa kama ndio girlfriend mpya wa mwana muziki na billionaire Rick Rose.
Baada ya page hiyo mashuhuri kumpost inaonekana hadi warembo wamarekani wameanza kumuonea wivu Hamisa Mobetto.
Shukrani sana Hamisa kwa kuifikisha Tanzania uchumi wa juu bila wewe tusingefika huko. We're proud of you 🥳🥳😇🤩
View attachment 1824452View attachment 1824455
Wanaitwa sex workers usirudie kuwaita malaya.Umalaya umekua ni jambo la kuleta heshima, Dunia imefika pabaya sana
Mungu yupo kila upande.
We lini umenenepa maana ulikua modo balaa kwa zile picha za mlimani kule kilimanjaroDuuh.... bora yake
Mi napiga piga vitizi mbuzi sioni hata results [emoji17]
Unaendekeza uvivuMe meamua tu kukubali yaishe
Just watching what I eat bas
Mmh sio umenifananisha na heaven on Earth? Sijawahi kuwa modoWe lini umenenepa maana ulikua modo balaa kwa zile picha za mlimani kule kilimanjaro
Watanzania wote wako proud baada ya mrembo hamisa mobetto kupostiwa na page mashuhuri ya udaku marekani TheShadeRoom. Mrembo huyo amepostiwa kama ndio girlfriend mpya wa mwana muziki na billionaire Rick Rose.
Baada ya page hiyo mashuhuri kumpost inaonekana hadi warembo wamarekani wameanza kumuonea wivu Hamisa Mobetto.
Shukrani sana Hamisa kwa kuifikisha Tanzania uchumi wa juu bila wewe tusingefika huko. We're proud of you 🥳🥳😇🤩
View attachment 1824452View attachment 1824455
Inawezekana.......itakua ni yeye ndie alileta ule uziMmh sio umenifananisha na heaven on Earth? Sijawahi kuwa modo
Ana bendera ya mabaharia!Ashakabidhiwa Bendera ya nchi?
Utakuwa shoga wewe siyo bure. Cc cocasticHongera Mabeto, tunamshuru Rick, kumpaisha mtz mwenzetu, uliteseka kunyaliwa Ila juhudi zako mungu kaziona na kasimama nawe, waliokunyali wanadamu Ila mungu ni wa huruma dhidi yako.
Yeah ni yeyeInawezekana.......itakua ni yeye ndie alileta ule uzi