Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Nipo Mambo yako wewe umepotea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Mambo yako wewe umepotea?
Heheheh inauma jamani yaan ukitoka Tz anaingizwa mwingine,ila wanaume wana tabia hiyo kabisa sio dai tu,,hata waliofunga ndoa na wanaishi na wake zao mbali[emoji1] [emoji1] [emoji1] atashusha gazetiiii kabisaaaa!!ila kanikosha sana hamisa maana alisema dai kwake hapinduii yaani mwanaume alimuona km malaikaaa loooh
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Ngoja waje kauli mbiu yao ni kusema ' zari anaonewa wivu 'Saafi sana mana wale wenye vihedemswedeee walikua wanataka picha mondi na hamisaaa yaani wamebaki matusi wakati Zari na Hamisa wote mahawara
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Mimi team zari ilikua inanichosha mara ohoo tuma picha aliyopiga na mond...kaziachia wanamtukana eti wanataka picha ya mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] atashusha gazetiiii kabisaaaa!!ila kanikosha sana hamisa maana alisema dai kwake hapinduii yaani mwanaume alimuona km malaikaaa loooh
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Waziri mpya wa TamisemiMmmh haya mambo tuwaachie wanadaresalama?
Anyway Hivi hamisa ndo nani? Nimjue nikawasimulie huko kijijini wakati tunavuna mpunga
Daah!acha tu ntakucheki nliibiwa tena simuNipo Mambo yako wewe umepotea?
ni kiki kweli maana wewe ndo umelala paleHuyo anatafuta kiki tu
Hilo jina linanifurahisha bi tukinao hahahaha wabongo htrHaya Sasa sijui anamkomoa Dilish Cjui bibi tukinao kazi kwao.