Hamisa Mobetto avujisha picha zake na Diamond

Hamisa Mobetto avujisha picha zake na Diamond

We nawe sasa mbona kitu kidogo hiko sana kuzaa hv mziki wake unashukaje sasa?

Na kwa nini Zari asimsehe s atakua mpumbavu sasa
 
dua la kuku hilooo,
kujishusha atajishusha mwenyewe kwa juhudi zake.Mange hakumtuma afanye ufuska bila kutumia kinga na kumkana mtoto kisha kumuita mamake bitch!!!!
umlale mwanamke umzalishe kisha umuite Malaya? na hata kama ni malaya wewe uliyemtafuta malaya kisha ukampeleka kwako kwenye kitanda cha mkeo tukuite Nani.
amezoea kudhalilisha wenzie sasa zamu yake
DUA
 
Watu wapole wabaya sana asee...yaani mi nakaonaga kapoole!

..alivyofatuka sasa hivi dooh! ....Domo angekausha hiyo interview, tutatumiwa picha ya utupu wake very soon, shauri yake!
Hamissa mpole hivi kwa kumuona lakini sio mpole ukikaa nae karibu.

Na kilichomuuma watu kumtukana wakati mond mimba aliiikubali na walikua wanailea vizuri tu sasa mzigo wote na lawama akaahamishiwa yeye
 
Katika mtu mwenye mashabiki wasio na akili Nasib anaongoza......Sasa hii inahusikaje na kumshusha mtu? Yani kuna watu wanatia huruma walivyo mataahira

Wasanii wote wanapenda kuzungumziwa, its good for business...Na muda mwingine ni wao wenyewe ndo wanajitengenezea scandals ili wabaki midomoni mwa watu.....Sasa wewe taahira sijui unacholalamikia ni nini?
 
We nawe sasa mbona kitu kidogo hiko sana kuzaa hv mziki wake unashukaje sasa?

Na kwa nini Zari asimsehe s atakua mpumbavu sasa
NIA ZA WATU NI KUMSHUSHA KWA HALI YOYOTE,HIVYO KWAO CHOCHOTE KILICHO KARIBU NI SILAHA TOSHA,DADA ANGU HAMISA ANAJIAIBISHA MWENYEWE TU MAANA ISHAONEKANA LENGO LAKE NI KUFANYA ANACHOFANYA(kuaribu) NA NDO MANA ALIJIRAHISISHA,NA HIZO HELA ALIZOKUA ANATAKA ALIPWE IWE SIRI BI ZARI KAZISTUKIA NA KAGOMA ZISITOKE,KWA HYO WATU WAMESHINDWA FIKA DAU NDO MANA ANAFANYA AFANYALO SASA,KWA NAMNA HII AKIITWA MALAYA KUNA KOSAAA?
 
Yaani hamissa ananifurahisha sana, yeye haongei ni vitendo tu...nimeona kaachia na video nyingine wapo na mond

Halafu sielewi mtu unamtukana hamissa eti anaharibu mahusiano ya watu, alijipeleka? Alitongozwa kama ambavyo angetongozwa mwingine. Mwenye kosa ni mond alieshindwa kutulia na Zarina
Mnamponza mwisho wa siku atabaki yeye na mwanae na sisi washabiki tumeshasahau, ana washauri wabaya she had to play it cool nadhani domo angeshauriwa na wenye busara aache utoto alee, ila namna hii ana justify kutelekezwa na hizi sheria za kibongo hata akipewa laki2 kwa mwezi anaonekana anahudumia
 
Huyo mwanamke ataishia kuzalishwa tu akili za maisha hana na cku zote mwanamke mjinga papa lake huchakazwa tu ...angekaa kimya angesaidiwa hao wote wanaomshabikia hata mia hawampi
 
Hamissa mpole hivi kwa kumuona lakini sio mpole ukikaa nae karibu.

Na kilichomuuma watu kumtukana wakati mond mimba aliiikubali na walikua wanailea vizuri tu sasa mzigo wote na lawama akaahamishiwa yeye
Inauma sana asee hata ingekuwa wewe , mimba uikane na bado uniite malaya live, wakati umalaya tumefanya wote!

Mi naona hamisa yuko sawa asee!
 
Katika mtu mwenye mashabiki wasio na akili Nasib anaongoza......Sasa hii inahusikaje na kumshusha mtu? Yani kuna watu wanatia huruma walivyo mataahira

Wasanii wote wanapenda kuzungumziwa, its good for business...Na muda mwingine ni wao wenyewe ndo wanajitengenezea scandals ili wabaki midomoni mwa watu.....Sasa wewe taahira sijui unacholalamikia ni nini?
UTAKUA TEAM WEMA TU WEWE,MAANA NDO TEAM NYUMBU KAZI KUMFATILIA MONDI ALL THE TIME
 
Katika mtu mwenye mashabiki wasio na akili Nasib anaongoza......Sasa hii inahusikaje na kumshusha mtu? Yani kuna watu wanatia huruma walivyo mataahira

Wasanii wote wanapenda kuzungumziwa, its good for business...Na muda mwingine ni wao wenyewe ndo wanajitengenezea scandals ili wabaki midomoni mwa watu.....Sasa wewe taahira sijui unacholalamikia ni nini?
Hajielewi huyu mtoa mada
 
NIA ZA WATU NI KUMSHUSHA KWA HALI YOYOTE,HIVYO KWAO CHOCHOTE KILICHO KARIBU NI SILAHA TOSHA,DADA ANGU HAMISA ANAJIAIBISHA MWENYEWE TU MAANA ISHAONEKANA LENGO LAKE NI KUFANYA ANACHOFANYA(kuaribu) NA NDO MANA ALIJIRAHISISHA,NA HIZO HELA ALIZOKUA ANATAKA ALIPWE IWE SIRI BI ZARI KAZISTUKIA NA KAGOMA ZISITOKE,KWA HYO WATU WAMESHINDWA FIKA DAU NDO MANA ANAFANYA AFANYALO SASA,KWA NAMNA HII AKIITWA MALAYA KUNA KOSAAA?
Huna lolote ndo walewale
 
Kuna watu mna mioyo yaani umekaa kabisa unatumia mb zako kutetea mahusiano/maisha binafsi ya mtu mwingine? Na inaonekana umeguswa kweli kama wewe ndo mhusika
 
Naona kumshusha kimuziki imeshindikana,sasa ni upande wa pili kumshusha kimahusiano.

HAMISA KAMA ALIMEGWA KAMEGWA TU,NA SI ALIKUA AMEJITEGA KWA SABABU YA NIA YAKE ALIYOKUA ANAIJUA????

BASI SAWA KWA MWANA MKE ANAYEJITAMBUA KAMA ZARI ATAKAAA CHINI ATASOMA LENGO LA HUYO HAMISA KIUNDANI
ATAMPOTEZEA NA WATASAMEHEANA YATAISHA.


FUNZO UKICHEPUKA NA WANAWAKE NAMNA HII,KUA MAKINI SANAAAA,MAAANA HUA WANAELEWA WAMEFATWA KWA AJILI YA MAHUSIANO ILA WAO WANAAMUA IBU YA WENGINE




Twendeee mzee mondi,najua TEAM HATER'S LEO WANAJIDAI WANAHURUMA SANA NA ZARI,MAANA DIZAIN FULANI HIVI WAMEONA KAMA WANAANZA KUFANIKIWA KUWATENGANISHA.


Huko WALIPO mange na wema naona kwa wakifanikiwa kwa hili watafanya party kabisa,maana si kwa battle hili la miaka3 mfululizo hawachoki kupambania kuharibu MAHUSIANO haya
Na wewe umemegwa mara ngapi na Diamond?

Hakuna mwanaume rijali anayeweza kuandika upumbavu kama huu, wewe chakula cha watu.
 
Back
Top Bottom