Hana akili huyoYule kumbe kupata zero form 4 ilikua haki yake kabisaaa kichwa maji kile.....eti team inamwambia unapendwa na yeye anakubali tu tatizo ni limbukeni yule dogo anaona kama ameokota dodo chini ya mwarobaini ......nimemhurumia alivyokua anajishebedua na kale ka wimbo ka jibebe Mara paaap anaitwa sidechick na mtoto side kid mweeeeeeeeeh akomage tenaaa......basi siku si nyingi utaona anajitia tena kiherehere sijui ubongo wake umeozaaaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Majizzo hawezi ujinga wa Misa. Sheria za Majizzo ndo zilizomtoa kwa Majizzo maana bi dada anapenda attention na Majizzo hataki hayo maujinga ya media sijui mashoga mashogaAmeiskia interview ya mondi lakini au anaweweseka tu.....hivi yule Dada ni lini atakubali kuacha kudhalilika....hivi ni kwanini asimg'ang'anie majizo mpk akomae na mondi ambae kila uchwao anamdharirisha....Jana kaitwa sidechick huko na huyo mondi wake akiona ile interview sijui atajichukuliaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Na utashangaa baada ya muda ataanza kujishebedua tena, kwakweli wanawake tufanye kazi ili tuweze kujisimamia wenyewe.Kichwa ngumu yule atasema dai kafanya vile kumzuga zari
Na utashangaa baada ya muda ataanza kujishebedua tena, kwakweli wanawake tufanye kazi ili tuweze kujisimamia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan hana akili kbs huyu msichana, na hizi team ndio zinamharibu sana.Afu kuna watu wanasema wanawake tupendane ila kwa chuchunge wanisamehe tu hakajielewi
Yaan hana akili kbs huyu msichana, na hizi team ndio zinamharibu sana.
Hawataki kumwambia ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuchunge hakubaliani na hiloUshauri wa bure kwa chuchunge na timu yake
Relationship zikikushinda
Unaeza jaribu ship zingine kama
Internship ama fellowship
Dear ladies Flat Ass is caused by sitting in a relationship that is not yoursdont argue with me am not your father
Kwa ile kichwa Mkuu sijui kama Majizo anaweza mrudiaAmeiskia interview ya mondi lakini au anaweweseka tu.....hivi yule Dada ni lini atakubali kuacha kudhalilika....hivi ni kwanini asimg'ang'anie majizo mpk akomae na mondi ambae kila uchwao anamdharirisha....Jana kaitwa sidechick huko na huyo mondi wake akiona ile interview sijui atajichukuliaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Side chick side kid, wanaume sometimes
Pole hamisa
Chuchunge hakubaliani na hilo
Anadhalilishwaga lkn yupo tu
Napataga hasira kama nimtandike makofi
Mtu gani king'ang'anizi hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
MONDI yupo vizuri pande zote,nothing elseHamisa hapo ndo anapofeli nampenda sana tu ila kumpa ukweli masti kwa mtu anaejielewa hawezi kujibu kirahisi hvyoo!hawa wanawake sijui mondi anawapa nini!
Mpk wanakubali kudhalilishwa hivi yaani penny tu ndo alisimama imara!wengine wote zeros kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na baba Dylan kama baba Dylan kagongelea msumariKuna team chuchunge humu walishupaza mishipa ya shingo eti dai anampenda sana hamisa see now wameishia kudhalilishana zaidi
Hamisa na wema ndo zzzzzzzzHamisa hapo ndo anapofeli nampenda sana tu ila kumpa ukweli masti kwa mtu anaejielewa hawezi kujibu kirahisi hvyoo!hawa wanawake sijui mondi anawapa nini!
Mpk wanakubali kudhalilishwa hivi yaani penny tu ndo alisimama imara!wengine wote zeros kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π π π πMajizzo hawezi ujinga wa Misa. Sheria za Majizzo ndo zilizomtoa kwa Majizzo maana bi dada anapenda attention na Majizzo hataki hayo maujinga ya media sijui mashoga mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ni mdhalilishaji huyu kaka jamani.Huyu ndo mwanaume wa kumuunga mkono huyu
Hahaaaahaaa!!nimecheka kama mazuri!so wanawake wote kilichowapeleka ni ashki zao!hatari hiiView attachment 845579
Sent using Jamii Forums mobile app