Hamisa Mobetto: Diamond anaweza akanioa

Hamisa Mobetto: Diamond anaweza akanioa

Yule kumbe kupata zero form 4 ilikua haki yake kabisaaa kichwa maji kile.....eti team inamwambia unapendwa na yeye anakubali tu tatizo ni limbukeni yule dogo anaona kama ameokota dodo chini ya mwarobaini ......nimemhurumia alivyokua anajishebedua na kale ka wimbo ka jibebe Mara paaap anaitwa sidechick na mtoto side kid mweeeeeeeeeh akomage tenaaa......basi siku si nyingi utaona anajitia tena kiherehere sijui ubongo wake umeozaaaa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana akili huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
38920070_287761718484284_8061325315881828352_n.jpg
39049048_658313667901547_2250345932895813632_n.jpg
 
Ameiskia interview ya mondi lakini au anaweweseka tu.....hivi yule Dada ni lini atakubali kuacha kudhalilika....hivi ni kwanini asimg'ang'anie majizo mpk akomae na mondi ambae kila uchwao anamdharirisha....Jana kaitwa sidechick huko na huyo mondi wake akiona ile interview sijui atajichukuliaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Majizzo hawezi ujinga wa Misa. Sheria za Majizzo ndo zilizomtoa kwa Majizzo maana bi dada anapenda attention na Majizzo hataki hayo maujinga ya media sijui mashoga mashoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wa bure kwa chuchunge na timu yake

Relationship zikikushinda
Unaeza jaribu ship zingine kama
Internship ama fellowship


Dear ladies Flat Ass is caused by sitting in a relationship that is not yoursdont argue with me am not your father
Chuchunge hakubaliani na hilo
Anadhalilishwaga lkn yupo tu
Napataga hasira kama nimtandike makofi
Mtu gani king'ang'anizi hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameiskia interview ya mondi lakini au anaweweseka tu.....hivi yule Dada ni lini atakubali kuacha kudhalilika....hivi ni kwanini asimg'ang'anie majizo mpk akomae na mondi ambae kila uchwao anamdharirisha....Jana kaitwa sidechick huko na huyo mondi wake akiona ile interview sijui atajichukuliaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ile kichwa Mkuu sijui kama Majizo anaweza mrudia
Akifanyiwaga interview unaona kabisaaa kichwa yake haiko sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Side chick side kid, wanaume sometimes
Pole hamisa


Hamisa ahitaji pole yeyote, yeye alivyolala na Diamond alishajuwa kuwa yeye ni side chick au an experiment at best (demu wa kuondoa nyege). Hata alivyojipiga picha akiwa kitandani na Diamond alionekana kuwa na uwoga kwa sababu alishajuwa kuwa kaiba na hakuwa na uhakika kama atapata matunzo. Side chick ni side chick tu, na kama kweli ana wish kuolewa na Diamond basi Diamond ajiandae kufirisika mapemaaaaa. Kuna mademu hasara dizaini ya kina Hamisa na Wema (kuchapwa na kuachwa solemba) na mademu wenye nyota kama Zari.
 
Hakuna mwanamke mondi hajamdhalilisha kinachomsaidia Zari ni kimoja tu si kwa sababu amezaa nae hapana ni kwa sababu anajua akimdhalilisha atamfungulia mashatka na atamfilisi baasi huo ndo ukweli lakini kwenye mapenzi sio Wema, Sio Hamisa wala Zari waliomove on kirahisi hvyo!!kosa kubwa la hamisa ni hilo wanalolifanya wengine mpk Leo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamisa hapo ndo anapofeli nampenda sana tu ila kumpa ukweli masti kwa mtu anaejielewa hawezi kujibu kirahisi hvyoo!hawa wanawake sijui mondi anawapa nini!

Mpk wanakubali kudhalilishwa hivi yaani penny tu ndo alisimama imara!wengine wote zeros kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
MONDI yupo vizuri pande zote,nothing else
 
Hamisa hapo ndo anapofeli nampenda sana tu ila kumpa ukweli masti kwa mtu anaejielewa hawezi kujibu kirahisi hvyoo!hawa wanawake sijui mondi anawapa nini!

Mpk wanakubali kudhalilishwa hivi yaani penny tu ndo alisimama imara!wengine wote zeros kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamisa na wema ndo zzzzzzzz
 
Back
Top Bottom