U have a point my dear!!anawajua wote wanaishi kwa kumtegema yeye Zari anakaa nyumba ya daimond south kama boss lady angehama hamisa nae kapangiwa na mondi basi tafrani tupuKabisa maumivu aliyojitaftia yatamtesa had uzeeni, hata Zari pia wema has nothing to lose hajazaa naye.
Hafu mond anawazalilisha baby mama zake kuupa wimbo wake kiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ndoa my dear Zile ni drama tu!daimond Jana kasema hivi alikua na girlfriend kwenye ile interview au hukusikia jamani akazaa nae watoto wawili jus a girlfriend only nothing else !!!hahaahaa!!!Ndoa ilifungwa wanajua wao y
Waliamua kuanzia ya mkeka
Sina la zaidi kusema
Nawahurumia ka wanawake wenzangu mtu uji sacrifice maisha yako, afya had mwili kumzalia mtu then asikuheshimu eeeh inaumiza sana, huyu mond IPO siku atakuja kulipa ka babake anavo suffer aisee.U have a point my dear!!anawajua wote wanaishi kwa kumtegema yeye Zari anakaa nyumba ya daimond south kama boss lady angehama hamisa nae kapangiwa na mondi basi tafrani tupu
Wote hawana uwezo wa kuongea chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamgomee wataishi wapi!! Wote wanakaa kwake Zari anasema ana nyumba ila anakaa kwa mondi na ukoo wake wote south hukoo!!ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tajiri hana nyumbaa!!Hata kama ndio shida ya dyudyu jamani mbona wanawake wazuri sana kwa nn wasimgomee
Yule alijua Zari atampa kirahisi papuchi arudishe kick sasa mwenzie kasema its done now kama kudhalilishwa umenionesha rangi zote now baasi ndo hayo yote anayaongeaSeems diamond alienda kwa Zari kumbembeleza ampe k sasa Zari kamnyima ndo Diamond katoa video akiwa na wema. Anavowazalilisha tu inaonyesha hana Amani so ndo anafikiri akifanya HVO anajipunguzia maumivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yaaniNawahurumia ka wanawake wenzangu mtu uji sacrifice maisha yako, afya had mwili kumzalia mtu then asikuheshimu eeeh inaumiza sana, huyu mond IPO siku atakuja kulipa ka babake anavo suffer aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukeri mama nipo upande wako ....Mimi ni team zari Leo na kesho peponi ........
Tuseme ameen
Sent using Jamii Forums mobile app
Zari hapo kumfungia vioo kanifuraisha sana huyu hafai anazalilisha mno wanawake, ingawa dai anajifanya strong ila michaganyo ya mahusiano inamuumiza kakonda hata ukimuona usoni una notice something wrong. Kina Hamisa wanamchekea sana kiki alobaki nayo ni kuzalilisha baby mama, Zari amkomeshe mpaka anyooke.Yule alijua Zari atampa kirahisi papuchi arudishe kick sasa mwenzie kasema its done now kama kudhalilishwa umenionesha rangi zote now baasi ndo hayo yote anayaongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Walifunga ndoa tayari. Sirudii kueleza
Mwimbo mnao pia uleeeeeeee wa hiyo siku
we ni mtanzania? kiswahili chako kinanipa shida sana kuelewaAcha kutishia watu huna lolote zaidi ya wivu. Kama wewe wa uliposema tuli lia ujiongeze
Seems diamond alienda kwa Zari kumbembeleza ampe k sasa Zari kamnyima ndo Diamond katoa video akiwa na wema. Anavowazalilisha tu inaonyesha hana Amani so ndo anafikiri akifanya HVO anajipunguzia maumivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wabishi walitaka ndoa itangazwe.. hawafikirii hata nje ya boksi.
Wengi na humu wanawivu juu ya Zari..
Kima ni hamisa na wanaojipeleka kwake..
adhabu ya name calling ni mbaya sana jf.Tafadhali hebu tupa na jina lake kabisaa maana humu sisi ni maperfect watupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamgomee wataishi wapi!! Wote wanakaa kwake Zari anasema ana nyumba ila anakaa kwa mondi na ukoo wake wote south hukoo!!ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tajiri hana nyumbaa!!
Hamisa ndo walewale haya wamgomee wana maisha!!!shunie usisemee ndugu yangu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamisa alinichekesha na so pussy sweet, team yangu inamdaganya ka ilivokuwa kwa wema Sepetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hihihihihihihih nacheka kifilipino hapa nasoma comments naishia kusema hiiiii hivi ile range ya zari ni sh ngapi jamani ....maana kukaa kwenye ile nyumba isiwe sababu ya kusema zari hana pa kukimbilia .......ile nyumba anakaa sababu ya mitoto ile ya dai ...unadhani zari isingekua vile vifaranga vya chibu angekaa pale!!! Si angejiendea zake kukaa kwenye nyumba walizonunua na marehemu mumeweTeam ushind hatuna kigeugeu geu kutwa kutaja jina la tusiempenda na mboyoyo kibao,tunapiga pale panapouma tu hatunaga kupaisha majina ya wasiohusika na sakata la sidechick
Ila Zari anapendwa jaman uzi mzima zari zari hadi raha,nyumba ya sauz inawaumiza wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ameeeen
Zari kanifuraisha kumkomesha aisee, she is not that cheap, anajua thamani yake na hapendi kuzalilishwa, kwanza zari alimkomesha dai alitaka kufamfanyia tiffah birthday ili apate kiki, ndo kwanza zari akaenda Uganda, sasa kina Hamisa na nyumbu waendelee kumchekea mtu anaitaje mwanawe sidekid jomoni,Yeah na alikua sharp sana kuweka video akiwa chumban na akina tiffa,alidhan zari ni kama akina sidechick kuwachezesha threesome kumbe ile familia inajielewa,alianza dada mtu kukanusha mahusiano kurudi,zari akaja malizia kabisa,imemuuma sana jamaa.(pesa zote zimeishia kwenye shopping ya watoto huku birthday mama ndo mwenye uamuzi wa mwisho inauma sana)
Ile ilikuwa ya milembe
Alitaka kuonyesha kama wapo wote.. kumbe eee