Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Ana mambo ila sisi wanawake ndo tunambeba utimu huu unamfanya afanye anachokitaka yaani anajua kabisaa hapa kuna watu watamshambulia hamisa,wengine wema, wengine jokate,wengine peny,wengine Zari hapo yeye roho kwatuuu!!kumbe kudhalilishwa anadhalilishwa mwanamkeHahahaa!sijawahi ona mwanaume mswahili kama huyu.
Mwanaume tena si mwanaume,mvulana huyu ana mambo ya ajabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app