Hamisa Mobetto kufunguka Jumatatu na kueleza jinsi Diamond alivyo ahidi kumuoa

Ujasikia kias hicho kukanushwa na mama wa mtoto!?

Subir habar kamili itakufika juma tatu,
 
Ujasikia kias hicho kukanushwa na mama wa mtoto!?

Subir habar kamili itakufika juma tatu,
Kiasi kipi? Cha laki 2, au?! Hivi unaamini kabisa Diamond anaweza kuacha kumuhudumia mwanae?! Si bora basi angekanusha suala la kununuliwa gari inge-make sense!!!
 
Wala sio mjanja labda ni jinsi mnavyo muona usoni...!.majizo nae alimuonesha mji...
Na mimi naamini kwamba sio mjanja! Hamisa angekuwa mjanja angeendelea kuzila za Diamond kimya kimya coz' there's no way siri ya Hamisa kuzaa na Diamond ingedumu japo kwa mwaka mmoja!

Sasa ingekuja kufichuka wakati bado akiwa na mahusiano mazuri na Diamond! Na kwavile wanawake hupenda kutegeshea mimba penye pesa, mahusiano mazuri hayo yangepelekea kupigwa mimba na nyingine na nyingine tena huku akiendelea kula mafao bila mayowe!!!
 
Mh 75% to hiyo ndogo ni 99%. Hilo ni fundisho kuwa wanaume waache uongo!
 
Hana lolote huyo...

Atazidi kujichora tu.

Sio kichaa... Akalala na mume wa mtu

Kondoms sh. 500 akaliwa kavu.....

Siku zake za hatari anazijua....akagawa peku

......

Inabidi uwe kichaa wa kiwango cha Makinikia kumsikiliza na utetezi huo...." eti kuolewa"!!!!?


NAKUTUMA.... MWAMBIE HAITA KIKI..
 
Yote haya geresha tu, ukweli wote wanaujuwa hao 2, na hatutajuwa nani mkweli..Ila tunachojuwa kweli D kapiga mzigo kisawasawa mpaka ikakatia na H kapata mtoto, swala la matunzo na malazi nina uhakika D aliyosema ya laki 5 kwa wiki sidhani, gari labda, ila tusubiri tumsikie H...Labda itapunguza stress zetu za maisha?!
Bongo kama NY!
 
Wahenga hawakukosea kusema binti akiwa mzuri bila akili ziumiazo ni sehemu nyeti. Ina maana hadi leo hajajua kiwe wengi hutafuta mbunye kwa gia ya ndoa, na hadi leo hajaweka rekodi wangapi wamemla kwa ahadi hiyo?
 
Akir zao wanajua wenyewe wote nawaona ni watu wa ajabu tuu
 
HAHAHAAA DIAMOND KAMA MAJI VILE,USIPOYANYWA UTAOGEA AMA UTACHAMBIA.



WANASEMAGA SIKU HIZI SOCIL MEDIA BILA DIAMOND HAITEMBEI



NA NDO MANA HATA BUNDLELINAKUA GHARAMA SANA SIKU HIZI TZ,ZAID YA MUDA WA MAONGEZI
 
Kabisaaaaa yaani huyu Dada anajaribu kutuconvice lakini kuzaa au kutokuzaa ni uamuzi Wa mwanamke kwataarifa yake ni hivii wanaume hutumia kila mbinu ili tu aione nyapu yako tu, apime kina tu bac. Japo c wote
 
Kuna kizee kimoja kinajiita nyani hakipendi kabisa kinatamani mpk kulia akiskia hizi mambo
 
Mume wa mtu ????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…