kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,815
- 6,517
"Nguo chafu" [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mtoto atakuja kusoma jinsi wazazi wake walivyoanika nguo zao chafu kwenye kadamnasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Nguo chafu" [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mtoto atakuja kusoma jinsi wazazi wake walivyoanika nguo zao chafu kwenye kadamnasi
Hivi kumbe "papa" ina maana nyingi[emoji23][emoji23]Naye mjanja wa mjini, anadanganywa ntakuoa, akaona ampe Papa yote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nahisi angeweza si mtoto wa tandika yule, mama yake tu unamuonaje!!Mobeto angeweza uswahili wa Madale?
Bampa to bampaNahisi angeweza si mtoto wa tandika yule, mama yake tu unamuonaje!!
Kazi ingekuwepo
Unafikiri Gigi money. Alimaanish papa ipi.Hivi kumbe "papa" ina maana nyingi[emoji23][emoji23]
Ndo mana lebo yake ikaitwa WasafiJuzi tulikua busy na mond na yeye anataka tuwe busy nae j3.
Ngoja nisikilize hiyo j3 tatizo mond ile juzi alimlaumu mwenzie sana ila yeye aonekane msafi
Sasa ni fundisho kwa wanaume au wanawake?! Kwanza dunia ya leo ukiona mwanamke anaachia papuchi eti kisa ameahidiwa kuolewa basi huyo mwanamke atakuwa ni miongoni mwa wanawake wa hivyo kabisa!!Mh 75% to hiyo ndogo ni 99%. Hilo ni fundisho kuwa wanaume waache uongo!
Mwache ashupaze shingo! ni upuuzi tu ndo unamsumbua, wale shoga zake wanaomjaza kiburi wanashindwa kumshauri mema ajue siku akimwagwa watamcheka.For the sake of that boy,better to keep quite. Chambilecho kwani ndoa lazima! At the end of the saga she will be the loose!"!"""Wasalaam wana jamvi!
Jumatatu kuanzia saa saba mchana Ndug Hamisa Mabeto atafunguka kupitia Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL!Hii.imekuja baada ya mzazi mwenzie Diamond Platinumz kufunguka wazi na kueleza mengi kuhusu wao na kumkana hadharani japo alimkubali mtoto...
Moja ya mambo yaliyo mkera Hamisa ni kitendo cha Diamond kusema hawakuwa na ahadi yeyote ile wakati ukweli ni kwamba Diamond Platinumz alimuahidi kumuoa kabisa na ndio maana alikubali kutembea nae na anasema Diamond alisema anampenda yeye kuliko Zari!
Pamoja na hilo Hamisa anakuja kukanusha kuhusu mambo mengi aliyo yasema Diamond hasa ya kusema alikuwa anampa kila siku elfu 70+ na kumkubali mtoto toka mwanzo...jambo ambalo Hamisa anasema ni urongo...
Sasa anasema jumatatu atasema mengi na atasema kila kitu na kuhusu aliyekuwa ana record video zao na aliyekuwa ana husika kuzivujisha....
Wana jamvi naomba niishie hapa na tusubiri jumatatu saa 7 clouds Fm.
NB: Huu unaweza kuwa mwaka mbaya kwa Diamond maana Hamisa anakuja kumwaga mboga na kutoboa masufuria kabisa...
Wale ambao hampendi habari za Diamond na Zari nawashauri.msitumie Smart phone mpaka mwakani maana hii iliyobaki ni ya habari zao tuuu...
Wasalaam...
Kipi hasa cha maana alichokanusha?! Kwamba hana tatizo na Zari, au?!Kama Zari alikanusha aliyosema Mondi papo hapo, basi kuna uwezekano kuwa Mondi kasema uongo sana kuhusu Hamisa.
Mwenye kujua Elimu ya Mobeto ,anisaidie !!!.Hivi kuolewa nako ni deni?!
Kumbe Diamond yupo sahihi kusema "no matter what, siwezi kuachana na Zari!" Manake best option katu haiwezi kuwa mwanamke anayepigania ndoa manake hiyo nayo ni dalili ya kutaka kuifanya ndoa ndio mtaji wake!!!
Mwanamke anayejitambua na kujiamini tena katika umri mdogo kama wa Hamisa, katu kuahidiwa ndoa hakuwezi kuwa hoja ya kujadili hadharani kwamba "aliniahidi ndoa."
Hapa sasa naanza kuuona ukweli wa aliyosema Diamond kwamba Hamisa alikuwa anamfanyia vitimbi Zari kwakuwa aliahidiwa ndoa!
Hivi mpaka leo hii hafahamu kwamba kati ya 100% ya wanaume ambao hawajaoa, zaidi ya 75% wameshawahi kuahidi ndoa?